Je, inawezekana amepata ujauzito?

Je, inawezekana amepata ujauzito?

0897

Member
Joined
Feb 25, 2022
Posts
39
Reaction score
92
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa TZ.

Nilikutana na mwanamke kimwili kuanzia tarehe 20 mpaka 23 yaani alikuja getho tukawa pamoja kwa siku hizo.

Ila anadai aliingia period tarehe 12 mwezi huo sasa nahofia kuwa alipata ujauzito ila kinachonitoa hofu mbegu zilikuwa nyepesi sana maana kwa siku hizo nilipiga shoo ya maana sidhani kama atashika ujauzito.
 
Mbegu kuwa nyepesi sana ndo hazitungishi mimba? Na wee ulizionaje? Ulizishika?

JF never boring uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naskia inawah kufu mbegu ikiwa nyepesi mkuu na mm nilikutana nae cku ya 12
 
muulize mzunguko wake unachukua siku ngapi hadi mzunguko mwingine? Kisha toa 14 then namba utayopata rudi mbili nyuma na nenda mbele siku moja zikioana na hizo tarehe mlizo do then ni obvious tayari
 
Mkiambiwa mtumie Kinga hamuelewi..Sasa wahaha.. pole
 
Back
Top Bottom