Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Mkuu, kwani Inverter inabadili umeme kutoka AC to DC au DC to AC..?Naam utahitaji inverter kubadilisha AC to DC ambayo ndio inaweza kutunzwa kwenye battery... Ila kumbuka hivi conversion unapoteza nishati...; Kwa ushauri kama ni Taa n.k. nunua Taa zinazotumia DC kama back-up umeme ukirudi utaendelea na vifaa vyako vingine....
Sorry namaanisha rectifier inveter ni dc to acMkuu, kwani Inverter inabadili umeme kutoka AC to DC au DC to AC..?
Hapo nadhani kutahitajika some tinkering za hapa na pale nadhani to be on the safe side ni kununua battery charger mahususi kwa shughuli hio ingawa nina uhakika ukicheki online uneweza ukacheji some projects watu wanajitengenezeaNimepata Somo hapa kidogo mkuu,, hebu basi nikuulize.. Ninavyojua charger ya PC/Laptop huwa inachukuwa umeme from AC to DC kupeleka kwenye bettery ya laptop, Je, ninaweza kutumia hii Adopter ya PC kuchaji Betri yangu ya N100 na ikaweza kujaza bettery hiyo na nitajuaje kama Bettery imekaa full..?
Kama una picha ya Rectifier naomba unitumie niione,, nimejaribu kugoogle sijapata picha inayoelewekaSorry namaanisha rectifier inveter ni dc to ac
Yes inawezekana kuna kifaa kinaitwa dc charger na ndicho nachokitumia nyumbani kwanguWakuu habari, ninapoishi umeme upo vizuri tu sema unakatika baadhi ya muda kwahiyo nahitaji backup system lkn sitaki kuingia gharama ya kununua solar panel nataka ninunue battery za solar, charge controller na inverter hapo nakuwa natumia umeme wa kawaida wa Tanesco kuchaji battery za sola.
Umeme ukikatika nitumie battery kupower accessory zangu na umeme ukirudi nichaji battery yani kiufupi ni kama power bank. Je huu mfumo unawezekana au una mapungufu gani?
Kama inawezekana niwe na battery yenye Ah ngapi Vitu ninavyohitaji kutumia umeme ukikatika ni feni, taa moja, kuchaji simu na desktop pc
Mkuu naomba uniwekee picha ya hyo DC chargerYes inawezekana kuna kifaa kinaitwa dc charger na ndicho nachokitumia nyumbani kwangu
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Naomba picha yake kiongoziYes inawezekana kuna kifaa kinaitwa dc charger na ndicho nachokitumia nyumbani kwangu
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Mkuu inawezekana kabisa hata mimi natumia hivyo,nina battery 150Ah na inveter ambayo ina chaji battery umeme ukiwepo inajaza tena full kabisa,umeme ukikata kuna switch nabonyeza tu kwenye hyo hyo inverter naendelea kula maisha na smart tv inch 40..inverter nimenunua 50k ila kwa mjini nina uhakika haizidi 30k
Inawezekana fata maelezo aya ninayo kupa
Vitu unavyo takiwa kuwa navyo
1.bettry 12v,24v
2,AC to DC inverter iwe input 220ac
utput 18dcV kwa jili ya kuchaji bettrt ya volt 12
Na 30dcV kwa ajili ya kichaji bettry ya volt 24
3.12v dc na 24v dc inverter kwa ajili ya kubadili umeme wa dc kwenda ac
NB:- kuna inverter sasa ivi zina uwezo wa kufny kazi zote mbili kwa wakati mmoja yani kuchaji bettry na pia kubadili kwnd ac
NJIA RAHISI NUNUWA (UPS) KIREFU NI UNIT POWER SUPPLY HII INATUMIKA KWENYE MAOFISI ATA UMEME UKIKATIKA UONI KAMA UMEKATIKA ILI KULINDA KAZI ZAO KAMA DATA KUPOTEA IWAPO UMEME UKIKATIKA KAMA UTAKUWA NA MASWALI ZAIDI UTAULIZA NITAJIBU KADLI NAVYO WEZA
Mkuu, nikishaunganisha inverter (AC - DV) ili kupeleka umeme kwenye Betri, ninaweza kutumia charging controller ili niweze kujua kama Betri imejaa au lah..?Inawezekana fata maelezo aya ninayo kupa
Vitu unavyo takiwa kuwa navyo
1.bettry 12v,24v
2,AC to DC inverter iwe input 220ac
utput 18dcV kwa jili ya kuchaji bettrt ya volt 12
Na 30dcV kwa ajili ya kichaji bettry ya volt 24
3.12v dc na 24v dc inverter kwa ajili ya kubadili umeme wa dc kwenda ac
NB:- kuna inverter sasa ivi zina uwezo wa kufny kazi zote mbili kwa wakati mmoja yani kuchaji bettry na pia kubadili kwnd ac
NJIA RAHISI NUNUWA (UPS) KIREFU NI UNIT POWER SUPPLY HII INATUMIKA KWENYE MAOFISI ATA UMEME UKIKATIKA UONI KAMA UMEKATIKA ILI KULINDA KAZI ZAO KAMA DATA KUPOTEA IWAPO UMEME UKIKATIKA KAMA UTAKUWA NA MASWALI ZAIDI UTAULIZA NITAJIBU KADLI NAVYO WEZA
View attachment 2905610
Msihofu tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AC to DC inverter input 220acVInawezekana fata maelezo aya ninayo kupa
Vitu unavyo takiwa kuwa navyo
1.bettry 12v,24v
2,AC to DC inverter iwe input 220ac
utput 18dcV kwa jili ya kuchaji bettrt ya volt 12
Na 30dcV kwa ajili ya kichaji bettry ya volt 24
3.12v dc na 24v dc inverter kwa ajili ya kubadili umeme wa dc kwenda ac
NB:- kuna inverter sasa ivi zina uwezo wa kufny kazi zote mbili kwa wakati mmoja yani kuchaji bettry na pia kubadili kwnd ac
NJIA RAHISI NUNUWA (UPS) KIREFU NI UNIT POWER SUPPLY HII INATUMIKA KWENYE MAOFISI ATA UMEME UKIKATIKA UONI KAMA UMEKATIKA ILI KULINDA KAZI ZAO KAMA DATA KUPOTEA IWAPO UMEME UKIKATIKA KAMA UTAKUWA NA MASWALI ZAIDI UTAULIZA NITAJIBU KADLI NAVYO WEZA
Inverter yako ina watts ngapi
AC to DC inverter input 220acV
Output 18dcV charger, Nitajuaje kama hii chaja inaweza kuchaji battery kwa mfano ya 100Ah mana kama solar panels inakuwa rated in watts kwahy inakuwa rahisi kujua mfano solar ya 200W inaweza chaji battery ya 100Ah na ikajaa
Ni PM Mkuu au WhatApp +255 769455701Naona hapa Kuna wazoefu mm Kwa upande wangu nahitaji mfumo wa backup unaweza kuoparate masaa 24 Kwa tv inch 50, music system ya watt 1000 na taa za mezani kama 5 hivyo naomba kujua ninunue betri zenye uwezo Gani pamoja na vitu vingine .