calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 274
NIna ndugu yangu kamaliza chuo kikuu na ana degree 1 umri wake ni miaka 23 anataka jiunga na jeshi
Je jeshi wanasomesha watu kufanya Masters?
Vikosi/Vitengo vipi vya jeshi ni bora kujiung navyo ili apate nafasi ya kupanda cheo?
Je jeshi wanasomesha watu kufanya Masters?
Vikosi/Vitengo vipi vya jeshi ni bora kujiung navyo ili apate nafasi ya kupanda cheo?