calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 274
NIna ndugu yangu kamaliza chuo kikuu na ana degree 1 umri wake ni miaka 23 anataka jiunga na jeshi
Je jeshi wanasomesha watu kufanya Masters?
Vikosi/Vitengo vipi vya jeshi ni bora kujiung navyo ili apate nafasi ya kupanda cheo?
Bora nichome chips, na digrii yangu kuliko kwenda huko hela ipo sawa ila hautakuja ionea raha yake ng'oo