Je, inawezekana kufunga radio za mchina za bodaboda kwenye gari for temporary?

Je, inawezekana kufunga radio za mchina za bodaboda kwenye gari for temporary?

Ukaridayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
515
Reaction score
476
Kuuliza si ujinga,

Kuna gari moja ya home ilikuwa na radio yake ya sony kwa bahati mbaya radio ile ni kama tuliuziwa mbuzi kwenye gunia ilipata damage...

Point yangu iko hapa kwenye radio hizi zinazofungwa kwenye bodaboda je unaweza kuifunga kwenye gari(Suzuki escudo) wakati nikisubir mfuko ukae vzr kwaajili ya radio mpya...

Vipimo vya umeme vikoje?
Nawasilisha.
 
Nunua subwoofer hizi hizi tunazotumia maumbani, aina ya aborder Au pinteck ya elfu70 kariakoo inayotumia umeme wa Dc 12v wanaziita za solar funga kwenye gari , utapata sound ya maana tu mkuu
 
Mkuu umenifanyia kitu cha suprise... Ngoja nijichange... Shukran sana.
 
Mkuu umenifanyia kitu cha suprise... Ngoja nijichange... Shukran sana.
Mkuu ndio hivyo, unakula sound ya ukweli ,unajazia na tweeter zako mbili za semton. Si lazima ukachukua redio ya laki3 dukani. Tena hizo sub kuna ambazo zina bluetooth, unaweza kula ngoma zako kwenye ndinga kwa kupay nyimbo zako kwenye simu tu mkuu
 
Mkuu ndio hivyo, unakula sound ya ukweli ,unajazia na tweeter zako mbili za semton. Si lazima ukachukua redio ya laki3 dukani. Tena hizo sub kuna ambazo zina bluetooth, unaweza kula ngoma zako kwenye ndinga kwa kupay nyimbo zako kwenye simu tu mkuu
Sasa power itakuwa unaipataje yani? Unaichomeka wapi?
 
Back
Top Bottom