Sumu ya nyigu
Member
- May 18, 2019
- 60
- 111
Habari wakuu,
Naomba kuuliza, hivi inawezekana kuhama kutoka taasisi ya umma kwenda Halmashauri? If no, why? If yes mchakato wake ukoje?
Naomba kuwasilisha.
Ahsante
Naomba kuuliza, hivi inawezekana kuhama kutoka taasisi ya umma kwenda Halmashauri? If no, why? If yes mchakato wake ukoje?
Naomba kuwasilisha.
Ahsante