Je inawezekana kujamiana na muathirika na usipate UKIMWI?

Nilipima wiki mbili zilizopita nilikua negative ila sasa wakasema majibu ya uhakika ni baada ya miez mitatu sasa naona mbali na ndio kwanza nimemaliza mwez sasa nashindwa kiaminibmajibu ya mara ya kwanza
Ww ke au me
 
Mbona wadau wote wanajibu wakilenga mleta uzi ni me? Labda ke jamani... Angesema jinsia yake mkuu Odbg amefanya vyema kuuliza hili swali
 
Huu ugonjwa unaitwa [emoji117] NYEGE ni ugonjwa mbaya sana unaoliangamiza taifa kwa sasa... Wakati ukisubiri miezi miwili iliyobaki nakushauri ujiandae kisaikolojia kuyapokea majibu

Ila nijibu kaswali haka ulijuaje kama ni mwathirika na ukaenda bila gwanda???
 
Mkuu kapime ukipata majibu usisite kutupa mrejesho......................
[HASHTAG]#LetTheNatureBeNatured[/HASHTAG]
 
kama mwathirika anatumia ARV ipasavyo inaweza kumzuia maambukizi mapya kwa 96%-98%..... japo ni nadharia

nenda kapime
 
Nilikua naomba niulize hiv unaweza ukafanya mapenzi na muathirika wa vvu na usipate maambukizi maan mimi hapa nilipo nina mwezi sasa toka nifanye mapenzi na muuaji huyo naombeni majibu tafadhari! !!
Itakuwa umeshaukwaa,wahi Angaza tu mkuu
 
Baada ya kusikia tetesi nilienda kupima nae na akaonekana anao
 
Inawezekana ulipata au la! Hii ni kulingana na mlivyofanya ngono.

Subiri hiyo miezi mitatu ukapime tena ili kukata mzizi wa fitina.
 
Sasa wewe kilaaazaaaa umetegemeaa nini kutiyanaaaa bilaaa ndomuuuu ..mwenyew hataa unawezaa kuwanao vaa ndomu next time
 
Nilikua naomba niulize hiv unaweza ukafanya mapenzi na muathirika wa vvu na usipate maambukizi maan mimi hapa nilipo nina mwezi sasa toka nifanye mapenzi na muuaji huyo naombeni majibu tafadhari! !!
ya nini kuhangaikia majibu ya jf?nenda vct ukapime then ukweli utakuweka huru,pia ukikuta umeathirika soma wagalatia 6:7.
 
Sikilizenu.. Nyie mnaomcheka jamaa mnaweza mkafa mkawatangulia hata wagonjwa wa ukimwi wanaotumia arvs.
 
Kama muuaji yupo kwny matumiz sahih ya ARV's itapelekea idad ya virus (viral load) kuwa ndogo na kinga (cd4) kuwa kubwa na ulimuandaa vzr i can guarentee hutapata maambukiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…