Je, inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae baba yake ameshafariki?

Je, inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae baba yake ameshafariki?

Weza

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
118
Reaction score
76
Habarini wapendwa Doctors na wakemia,

Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto anapoletwa na mama ambae anadai alizaa na marehemu alipokua hai. Je, ni ndugu yupi anaweza kufanya hivyo vipimo?

Je, ni bei gani ina cost kwa maabara ya Taifa?

Je, ukiachana na Nationa lab ni wapi pengine DNA inaweza fanyika na ni bei gani?

Je, inachukua muda gani kupata majibu ya hiyo DNA?

Na je kwanini inasemekana dada wa marehemu ndo anatakiwa kwenda kwenye vipimo na kwanini sio kaka wa damu wa marehemu tofauti ni ipi kati ya dada na kaka kwenye DNA?

Nahitaji sana msaada wenu maana baada ya muda mrefu kupita tokea kaka afariki walijitokeza wa mama kama wa tatu kila mtu kwa wakati wake, ambao wameleta watoto na kudai ni wa marehemu na familia haijui chochote please naomba msaada ili familia ijiridhishe na kujua lakufanya.

Natanguliza shukrani zangu wapendwa wangu🙏
 
LAZIMA upitie kwa afisa maendeleo ya jamii wa wilaya
 
Duh! Hawana chochote wanachoshabihiana na marehemu? Sijui kama hili linawezekana. Ni kupoteza pesa tu kama hamuoni kushabihiana kokote na marehemu watoleeni nje tu.

Because of recombination, siblings only share about 50 percent of the same DNA, on average, Dennis says. So while biological siblings have the same family tree, their genetic code might be different in at least one of the areas looked at in a given test. That's true even for fraternal twins.
 
Kwan wewe kwa kuwaangalia tu umeshindwa kujua ka iyo ni damu yenu
Mkuu, ki ukweli kuna huyo mmoja ambae ukimuangalia anaonekana kufanania kidogo japo anatokea mazingira ya kijijini anakolelewa ingawa kwenye familia kila mtu ana jinsi yake ya kufananisha, wengine wana kataa wengine wanakubali

Huyo mwingine ndo ana confuse watu kabisaa ingawa baadhi ya family members wanadai ni damu yao wengine wana doubts kidogo maana kafanana sana na mamaake, kiufupi wote wako tayari kwa DNA.
 
Habarini wapendwa Doctors na wakemia
Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto

Similar case ilikataliwa pale Regency kwamba ndg wa marehemu hawawezi kutumika kwy vipimo vya DNA ili kuhakiki kama watoto ni wa marehemu ndg yao.
So nadhani kama ndg yenu hakuwahi fanya hicho kipimo akiwa hai na kuwa nazo results zake...then hili suala ni ngumu kutumia njia ya DNA kulithibitisha....labda huko kwy wataalam zaidi. Bei ilikuwa ni 450K kipindi hicho like 6yrs back.
 
Ok kwahiyo hao wataalam zaidi wako wapi mkuu na process ikoje
 
Mkuu, ki ukweli kuna huyo mmoja ambae ukimuangalia anaonekana kufanania kidogo japo anatokea mazingira ya kijijini anakolelewa ingawa kwenye familia kila mtu ana jinsi yake ya kufananisha, wengine wana kataa wengine wanakubali

Huyo mwingine ndo ana confuse watu kabisaa ingawa baadhi ya family members wanadai ni damu yao wengine wana doubts kidogo maana kafanana sana na mamaake, kiufupi wote wako tayari kwa DNA.

Mi nadhani kama uwezo wa kuwalea watt mnao bora mkawalea tu. Watu wanafuga mbwa na kuwalisha vzr tu sembuse watoto jamani!

Fanyeni DNA pale mnapogombania watoto... mfano
yaani kuwe na baba 2walio hai wanaoclaim mtoto ni wao...
 
Ok kwahiyo hao wataalam zaidi wako wapi mkuu na process ikoje
I mean huko nje ya nchi kwy wataalam na vifaa complex. Si unajua huwa wanatuambia hata DNA za miaka 2000 ilopita? Ila kwa Bongo sidhani kama kuna mabadiliko japo mwaweza enda uliza. My case was 6years back so sijui kwa sasa
 
Mi nadhani kama uwezo wa kuwalea watt mnao bora mkawalea tu. Watu wanafuga mbwa na kuwalisha vzr tu sembuse watoto jamani!

Fanyeni DNA pale mnapogombania watoto... mfano
yaani kuwe na baba 2walio hai wanaoclaim mtoto ni wao...
Uko sahihi lakini shida inakuja kwamba baadhi ya ho wa mama wana ndoa zao kabisa na mwingine anadai aliolewa akiwa mjamzito alikutana na bro cho ila jamaa akasema hayuko tayari kuoa kwa kipindi hicho akatokea jamaa mwingine akamuoa huyo dada kumbe anamimba changa badae wakaachana so kaamua kusema ukweli mtoto wa nani na sisi tunaogopa ugomvi na jamaa maana wanavutana kugombania mtoto
 
Duh! Hawana chochote wanachoshabihiana na marehemu? Sijui kama hili linawezekana. Ni kupoteza pesa tu kama hamuoni kushabihiana kokote na marehemu watoleeni nje tu.

Because of recombination, siblings only share about 50 percent of the same DNA, on average, Dennis says. So while biological siblings have the same family tree, their genetic code might be different in at least one of the areas looked at in a given test. That's true even for fraternal twins.
Duh hiyo kupotezea sasa sijyi itakuaje maana what i see ni kwamba the mother's wamesha amua kuwaaminisha watoto wao kwamba the deceased person was the real father and family want to prove, so you mean its not possible if the father is no more
 
I mean huko nje ya nchi kwy wataalam na vifaa complex. Si unajua huwa wanatuambia hata DNA za miaka 2000 ilopita? Ila kwa Bongo sidhani kama kuna mabadiliko japo mwaweza enda uliza. My case was 6years back so sijui kwa sasa
Ok understood
 
DNA hapa haina msaada kama ulivyoona hivyo ni maamuzi yenu kama kuwakubali hao watoto kwa kuona some similarities with your late Bro au kuwakataa kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuonyesha kuhusika kwa marehemu.
Duh hiyo kupotezea sasa sijyi itakuaje maana what i see ni kwamba the mother's wameshaamua kuwaaminisha watoto wao kwamba the deceased person was the real father and family want to prove so you mean its not possible if the father is no more
 
Duh hiyo kupotezea sasa sijyi itakuaje maana what i see ni kwamba the mother's wamesha amua kuwaaminisha watoto wao kwamba the deceased person was the real father and family want to prove, so you mean its not possible if the father is no more
Especially me, i really want to know jaman and i am ready for it😀
 
Ila marehemu wanatuachiaga assignment ngumu wakati mwingine, khaaa!!!! Sijui kama wanajua wanavyotutesa sisi tulio hai. Imagine sarakasi za mirathi ya Dkt Mengi!??? Halafu hatujifunzi kitu bado!???
 
Sheria ya usimamizi wa vinasaba vya binadamu ya 2009 sura 73.

Nani anaweza kupima?
Yeyote ambaye anahitaji kujua kuhusu uhalali wa uzazi wake na upimaji hauna umri.

Kifungu 25 (2) Cha sheria hiyo kinawataja wafuatao kuwa na mamlaka ya kuomba DNA kupimwa. Kinataja Hakimu, Wakili, Afisa ustawi wa Jamii, Afisa wa polisi mwenye cheo zaidi ya Inspector,, Daktari. MKuu wa Wilaya. Hawa ndo wenye mamlaka ( Requesting Authority)

Iwapo mzazi amefariki kuna mawili kufukua kabuli ila kwa amri ya mahakama au kutumia vitu alivyokuwa anatumia marehemu kama mswaki, vest hii inafanywa na polisi.

Gharama za DNA ni Tsh laki moja kwa kila sampuli moja. Mf. Baba,, mama na mtoto itakuwa Tsh 300000.
Kwa msaada zaidi waone hao watajwa ambao kisheria wanapaswa Kutuma maombi kwa niaba yako.
 
Kwan wewe kwa kuwaangalia tu umeshindwa kujua ka iyo ni damu yenu
Mmoja mi naona anafanaia kwa kidogo ila baadhi ya ndugu wanakataa, halafu yule ambae mi naona hafanani labda rangi tu ndugu wanasema yeye ndo anafanana na sisi yaaniina confuse
 
Back
Top Bottom