Sio jibu nililokua nalihitaji, na tulizika kitambo sio tumezika, ndo maana nimeuliza wataalam yaani wenye uelewa wa DNA na sio wataalam wa mipasho, hata kama alikua kicheche haikuhusu atleast kaacha watoto hakutoa pesa watolewe, we pita tu kushoto hujui nilichouliza jombaaMmezika marehemu mwenye sifa ya,UKICHECHE.
Hakuna sababu yoyote ya kisayansi. Kama kipimo kipo inabidi watoto wote waliozaliwa na mama mmoja na marehemu wakapime.Na je kwanini inasemekana dada wa marehemu ndo anatakiwa kwenda kwenye vipimo na kwanini sio kaka wa damu wa marehemu tofauti ni ipi kati ya dada na kaka kwenye DNA?
Walio na ndoa, watoto ni wa baba mwenye ndoa, kwa sheria za Tanzania. Maneno ya mitaani yanadai hata DNA za Tanzania majibu huja mtoto ni wa baba kwenye ndoa. Kwa hiyo iwapo hao akina mama walikuwa kwenye ndoa wakati watoto wanazaliwa, basi hao watoto siyo wa ndugu yenu. Itakuwa huyo kaka yenu kaacha mali nyingi, vultures wanajitokeza out of wood. Hamuhitaji DNA. Mnahitaji walete cheti cha kuzaliwa watoto, na ushahidi kwamba kaka yenu aliwatambua hao watoto kwamba ni kwake.Uko sahihi lakini shida inakuja kwamba baadhi ya ho wa mama wana ndoa zao kabisa na mwingine anadai aliolewa akiwa mjamzito alikutana na bro cho ila jamaa akasema hayuko tayari kuoa kwa kipindi hicho akatokea jamaa mwingine akamuoa huyo dada kumbe anamimba changa badae wakaachana so kaamua kusema ukweli mtoto wa nani na sisi tunaogopa ugomvi na jamaa maana wanavutana kugombania mtoto
Kama yupo Kaka wa Marehemu unawea kupima na huyo aliyefiwa na baba na itaonyesha ni kweli damu yao au sio damu yao. Usimpime dada wa Marehemu.Habarini wapendwa Doctors na wakemia,
Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto anapoletwa na mama ambae anadai alizaa na marehemu alipokua hai. Je, ni ndugu yupi anaweza kufanya hivyo vipimo?
Je, ni bei gani ina cost kwa maabara ya Taifa?
Je, ukiachana na Nationa lab ni wapi pengine DNA inaweza fanyika na ni bei gani?
Je, inachukua muda gani kupata majibu ya hiyo DNA?
Na je kwanini inasemekana dada wa marehemu ndo anatakiwa kwenda kwenye vipimo na kwanini sio kaka wa damu wa marehemu tofauti ni ipi kati ya dada na kaka kwenye DNA?
Nahitaji sana msaada wenu maana baada ya muda mrefu kupita tokea kaka afariki walijitokeza wa mama kama wa tatu kila mtu kwa wakati wake, ambao wameleta watoto na kudai ni wa marehemu na familia haijui chochote please naomba msaada ili familia ijiridhishe na kujua lakufanya.
Natanguliza shukrani zangu wapendwa wangu🙏
Tafuteni mali zenu nyie ndo ndugu mnaibuka baada ya ndugu yenu kufa DNA za nini gaweni mali kwa watoto wa marehemu mkikuta POSITIVE hamuoni kuwa mnatengeneza bifu na watoto wa marehemu.HEBU TOENI BANGI ZENU NANI ALIWATUMA MSITAFUTE MALI ZENUSio jibu nililokua nalihitaji, na tulizika kitambo sio tumezika, ndo maana nimeuliza wataalam yaani wenye uelewa wa DNA na sio wataalam wa mipasho, hata kama alikua kicheche haikuhusu atleast kaacha watoto hakutoa pesa watolewe, we pita tu kushoto hujui nilichouliza jombaa
Suala la kupima pia lazima kuwe na consent ya hao wazazi wa watoto tofauti na hapo haiwezi kufanyika.Sasa kama watoto wapo mikoa tofauti na sisi, tuna enda kwa afisa maendeleo yupi rafiki
Dada hiyo mambo ya DNA huku kwetu bado hayajawa vizuri japo unaweza kufanikisha ukikaza buti ILAHabarini wapendwa Doctors na wakemia,
Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto anapoletwa na mama ambae anadai alizaa na marehemu alipokua hai. Je, ni ndugu yupi anaweza kufanya hivyo vipimo?
Je, ni bei gani ina cost kwa maabara ya Taifa?
Je, ukiachana na Nationa lab ni wapi pengine DNA inaweza fanyika na ni bei gani?
Je, inachukua muda gani kupata majibu ya hiyo DNA?
Na je kwanini inasemekana dada wa marehemu ndo anatakiwa kwenda kwenye vipimo na kwanini sio kaka wa damu wa marehemu tofauti ni ipi kati ya dada na kaka kwenye DNA?
Nahitaji sana msaada wenu maana baada ya muda mrefu kupita tokea kaka afariki walijitokeza wa mama kama wa tatu kila mtu kwa wakati wake, ambao wameleta watoto na kudai ni wa marehemu na familia haijui chochote please naomba msaada ili familia ijiridhishe na kujua lakufanya.
Natanguliza shukrani zangu wapendwa wangu🙏
Habarini wapendwa Doctors na wakemia,
Napenda kujua je inawezekana kumfanyia DNA mtoto ambae babaake ameshafariki ili kujua ni kweli aliekufa ni baba halisi pindi mtoto anapoletwa na mama ambae anadai alizaa na marehemu alipokua hai. Je, ni ndugu yupi anaweza kufanya hivyo vipimo?
Je, ni bei gani ina cost kwa maabara ya Taifa?
Je, ukiachana na Nationa lab ni wapi pengine DNA inaweza fanyika na ni bei gani?
Je, inachukua muda gani kupata majibu ya hiyo DNA?
Na je kwanini inasemekana dada wa marehemu ndo anatakiwa kwenda kwenye vipimo na kwanini sio kaka wa damu wa marehemu tofauti ni ipi kati ya dada na kaka kwenye DNA?
Nahitaji sana msaada wenu maana baada ya muda mrefu kupita tokea kaka afariki walijitokeza wa mama kama wa tatu kila mtu kwa wakati wake, ambao wameleta watoto na kudai ni wa marehemu na familia haijui chochote please naomba msaada ili familia ijiridhishe na kujua lakufanya.
Natanguliza shukrani zangu wapendwa wangu[emoji120]
Asante sana my dear, kwa kwa maelezo yako, so you mean baba wa marehem pia anaweza kurumika kwenye DNA right?It’s Simple
Wachukuen hao watoto watatu chukuen sample za wote watatu then uezekano wa kua ni ndugu matokeo ynaweza kua 25% it means they are half siblings wameshea baba km mmoja wao atakua 0 bac hahusian na hao wnaweza kua wawil wanahusiana au wote watatu au mmoja tu ila kama watakua wanasema ukwel bac results zitaonesha kua kweli ni siblings
Then
kama kuna kitana chenye nywele za marehemu msuak vinaweza kufaa kuwafnyia DNA hao watatu kama hakuna bac chukuen ndugu yake marehemu, mzaz wake, kaka yake aunt yake kama marehemu ameacha mtoto bibi uncle
Mimi nina uhakika ni kakaangu, mamaangu aliolewa na baba mmoja na mume anaemjua ni babaangu pekeakeSas wew unauwakika gani kuwa yule marehemu Ni ndgu ako kbsaa DNA wakit mwingine si zakuamini mnk pengeine at wee huna vinasaba na Kaka ako ndio majibu yaweza ya[emoji6]siwe kweli
Asante sana my dear, kwa kwa maelezo yako, so you mean baba wa marehem pia anaweza kurumika kwenye DNA righ
Asante kwa ushauri rafiki option ya DNA ikishindikana basi tutafikiria cha kufanya sasaDada hiyo mambo ya DNA huku kwetu bado hayajawa vizuri japo unaweza kufanikisha ukikaza buti ILA
nakushauri kama mnajiweza muwalee hao watoto;
Watoto wa kuletewa maana yake ni kuwa wahusika hawana uwezo wa kuwalea na nyie mkiwalea bila kuwabagua kwa asilimia kubwa huishia kuwa wakombozi wa familia kuliko hata watoto wenu wa kuwazaa. Fanya uchunguzi polepole utagundua kitu...
Ofcoz hatuwezi fanya bila their consent, na wao ndo wamesisitiza tulivyowagusia na mama mmoja anatukumbushia tumefukia wapi swala la DNASuala la kupima pia lazima kuwe na consent ya hao wazazi wa watoto tofauti na hapo haiwezi kufanyika.
Ila naamini kwenye mambo ya kifamilia kuna mtu ambaye anakuwa msiri wako. Hata ukifanya rough yupo ambaye utamwambia. Sasa kama kwenye familia hakuna hata mmoja aliyekuwa anajua basi huenda hata marehemu alikuwa hajui may be hao wanawake waliamua kumficha ili waendelee na maisha yao.
Ila kama familia mnaweza mkaa chini na hao wazazi mkaongea nao kwamba watoto ni baraka,, na ninyi hamna shida yoyote kuwapokea bali hakuna hata mmoja kwenye familia aliyekuwa anajua wala wakati marehemu yuko hai hakuwahi kuwadokeza hilo.
Hivyo ili kuwapa watoto haki za msingi haki ya kujua familia yake tunaomba vipimo vya DNA vifanyike hawawezi kukataa.
Jaribu kusoma nilichoandika uelewe na sio unaingia OP tu , nani kaongelea mali hapa na kama ni issue ya mali kwanini niilete kwenye jukwaa la Dr. Si ningeenda jukwaa jingine la kisheria, mali za kakaangu zilienda kwa familia yake, sisi zinatuhusu nini tena hali ni za mke na wanae, nani anahitaji mali na nani kakwambia hatuna mali zetu, wewe unapoletewa watoto unaambiwa ni wa ndugu yenu aliekufa miaka kadhaa ilopita na watoto ni wakubwa na hukuwahi kuwaskia ungekua wewe ungefanyaje unapokea tu hao watoto bila kusita? Tena we ndo bangi kabisaa ungewafuukuza wewe, na nani kakwambia hao wa mama wanahitaji mali, wacha wanaojua na wenye utaalam wa kitu nilichouliza wanijibu aisee, na nime specifie kabisa ma Dr. Wakemia na wenye kujua wanisaidie so if you know nothing, kindly keep your negativity away from serious threads.Tafuteni mali zenu nyie ndo ndugu mnaibuka baada ya ndugu yenu kufa DNA za nini gaweni mali kwa watoto wa marehemu mkikuta POSITIVE hamuoni kuwa mnatengeneza bifu na watoto wa marehemu.HEBU TOENI BANGI ZENU NANI ALIWATUMA MSITAFUTE MALI ZENU
Ok thank you my dear dry root😀 hebu niambie kwanini dada wa marehemu hawezi kupima? Kuna mtu alisema eti dada wa damu ndo anatakiwa kupima na si kaka, nielewesheni guysKama yupo Kaka wa Marehemu unawea kupima na huyo aliyefiwa na baba na itaonyesha ni kweli damu yao au sio damu yao. Usimpime dada wa Marehemu.
Duh kiukweli mpaka nimeuliza yaani we are so confused, kwanini hawakusema muda wote huo na mke wa ndoa hajui halafu wawili wameolewa wakiwa na watoto mmoja akiwa na mimba mmh hatari kwakweli na ni wakubwa kuliko mapacha alopata kwa ndoaHakuna sababu yoyote ya kisayansi. Kama kipimo kipo inabidi watoto wote waliozaliwa na mama mmoja na marehemu wakapime.
Walio na ndoa, watoto ni wa baba mwenye ndoa, kwa sheria za Tanzania. Maneno ya mitaani yanadai hata DNA za Tanzania majibu huja mtoto ni wa baba kwenye ndoa. Kwa hiyo iwapo hao akina mama walikuwa kwenye ndoa wakati watoto wanazaliwa, basi hao watoto siyo wa ndugu yenu. Itakuwa huyo kaka yenu kaacha mali nyingi, vultures wanajitokeza out of wood. Hamuhitaji DNA. Mnahitaji walete cheti cha kuzaliwa watoto, na ushahidi kwamba kaka yenu aliwatambua hao watoto kwamba ni kwake.
Tafakarini kuweka mwanasheria.
Thank you my dear, that is all i want to know ili tujiridhishe tu maana hata watoto kunajinsi wamekua kama wamechanganywaHakuna sababu yoyote ya kisayansi. Kama kipimo kipo inabidi watoto wote waliozaliwa na mama mmoja na marehemu wakapime.
Walio na ndoa, watoto ni wa baba mwenye ndoa, kwa sheria za Tanzania. Maneno ya mitaani yanadai hata DNA za Tanzania majibu huja mtoto ni wa baba kwenye ndoa. Kwa hiyo iwapo hao akina mama walikuwa kwenye ndoa wakati watoto wanazaliwa, basi hao watoto siyo wa ndugu yenu. Itakuwa huyo kaka yenu kaacha mali nyingi, vultures wanajitokeza out of wood. Hamuhitaji DNA. Mnahitaji walete cheti cha kuzaliwa watoto, na ushahidi kwamba kaka yenu aliwatambua hao watoto kwamba ni kwake.
Tafakarini kuweka mwanasheria.
Nendeni mkawapime pamoja na watoto Wa Ndoa plus baba mzazi Wa Marehemu. Kama wana unasaba, basi chance za DNA kumatch % ni kubwa..Duh kiukweli mpaka nimeuliza yaani we are so confused, kwanini hawakusema muda wote huo na mke wa ndoa hajui halafu wawili wameolewa wakiwa na watoto mmoja akiwa na mimba mmh hatari kwakweli na ni wakubwa kuliko mapacha alopata kwa ndoa
Mleeni mtoto, hamuwezi kujua baadae atakuwa nani, pia mtabarikiwa hata kama si wakwenu.Mkuu, ki ukweli kuna huyo mmoja ambae ukimuangalia anaonekana kufanania kidogo japo anatokea mazingira ya kijijini anakolelewa ingawa kwenye familia kila mtu ana jinsi yake ya kufananisha, wengine wana kataa wengine wanakubali
Huyo mwingine ndo ana confuse watu kabisaa ingawa baadhi ya family members wanadai ni damu yao wengine wana doubts kidogo maana kafanana sana na mamaake, kiufupi wote wako tayari kwa DNA.