Je inawezekana kumshtaki mtu kwa kutoa namba ya simu?

Je inawezekana kumshtaki mtu kwa kutoa namba ya simu?

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Kuna watu wanasema ya kwamba, Spika na Naibu wake wachukue hatua za kisheria dhidi ya viongozi wa CHADEMA kwa kutoa namba za viongozi hao wa Bunge, jambo lililopelekea viongozi hao wa Bunge kukashiwa kwa ujumbe mfupi pia kwa kupigiwa simu.
Naomba kujua, kwa mujibu wa kanuni za usiri (privacy) za TCRA au makampuni ya simu, je inawezekana kumshtaki mtu kwa kutoa mawasiliano ya mtu (kama namba za simu, e-mail n.k) mwingine?
 
kwa hili hakuna kosa kwani namba zilizotolewa zipo katika tovuti ya bunge. acha waendelee kutukanwa kwa kubaka demokrasia
 
Sure!! Inawezekana kabisa!!rejea haki ya raia ndani ya bunge,bunge ni chombo cha kusimamia haki za raia,kila kinachofanyika ndani ya bunge ni kwa maslahi ya raia(umma)hivyo umma unahusika moja kwa moja na kila kinachoendelea huko bungeni,sasa je ni kosa kwa mwajiri kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na mtumishi wake? Kosa linaweza kuwa ni matumizi ya mawasiliano mliyonayo,kosa si kuwa na mawasiliano,kuna mahali nimekosea,hebu niweke sawa.
 
Back
Top Bottom