Mariaclara Luiz
Member
- Oct 5, 2015
- 60
- 3
Habarini wanaJF,
Naombeni kujua hivi inawezekana kwenda kupima HIV alafu majibu ukaomba utumiwe kwa njia ya sms yani usiyapokee hapohapo utumiwe kwa sms.
Naombeni kujua hivi inawezekana kwenda kupima HIV alafu majibu ukaomba utumiwe kwa njia ya sms yani usiyapokee hapohapo utumiwe kwa sms.