Mariaclara Luiz
Member
- Oct 5, 2015
- 60
- 3
Ni makosa kufanya hivyo. Kabla ya kufanyiwa vipimo na kabla ya kupokea majibu yako unapaswa kufanyiwa counselling.
Kwani hiyo zinaa mlikuwa mkiifanya via Sms?
Habarini wanajf,naombeni kujua hivi inawezekana kwenda kupima HIV alafu majibu ukaomba utumiwe kwa njia ya sms yani usiyapokee hapohapo utumiwe kwa sms.
Ni makosa kufanya hivyo. Kabla ya kufanyiwa vipimo na kabla ya kupokea majibu yako unapaswa kufanyiwa counselling.
Kwani hiyo zinaa mlikuwa mkiifanya via Sms?
Ikimbieni zinaa maana inaua,jana umekuja na uzi wa "nina vinyama usoni,bado hukuridhika ukaja na uzi wa kaniambia nikapime damu,leo unatuambia utumiwe majibu za HIV Kwa sms,je sampuli ya damu nayo utaituma kwa sms?
Mariacluz umepoteza tumaini na nuru iliyokuwa machoni pako tangu utumiwe sms ukacheki damu yako ushauri wangu dada yangu jipe moyo uliomkuu na uamini wew ni mzima kabisa na hata ukikuta umeathirika ukimwi sio kifo dada angu kuna magonjwa ya kuogopa kama cancer ila sio ukimwi mtu anaishi na ukimwi 30yrs sasa unawezaje sema huu ni ugonjwa kuwa na imani nenda kapima mungu atakulinda ila kuwa muangalifu usije jidhuru kama unaona huna huo ujasiri nifuate pm kwa ushauri zaidi.be blessd dada
usiogope dada, be strong
Thanks
note, hata ukikutwa nao usikimbilie kumeza ARV, nipm tutalifanikisha, tena ikiwezekana pima ili ujue mapema
Unadawa ya kutibu huo ugonjwa au
Inawezekana. Njoo nikufanyie vipimo kisha nitakutumia majibu kwa sms. Au nikupatie Alere Determine ukajipime mwenyewe kwa muda wako.
Ni makosa kufanya hivyo. Kabla ya kufanyiwa vipimo na kabla ya kupokea majibu yako unapaswa kufanyiwa counselling.
Kwani hiyo zinaa mlikuwa mkiifanya via Sms?