Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Habari Wakuu,
Natumaini Mnaendelea salama na majukumu ya kila siku.
Hoja yangu ni kwamba,
Inawezekana Non-resident akawa na biashara hapa nchini kisheria,
Na kama ni Kampuni wanaweza wakafungua watu wawili yani Resident & Non-resident?
Ahsante, maelezo zaid ya hapo ntashukuru zaid.
Natumaini Mnaendelea salama na majukumu ya kila siku.
Hoja yangu ni kwamba,
Inawezekana Non-resident akawa na biashara hapa nchini kisheria,
Na kama ni Kampuni wanaweza wakafungua watu wawili yani Resident & Non-resident?
Ahsante, maelezo zaid ya hapo ntashukuru zaid.