Habari Wakuu,
Natumaini Mnaendelea salama na majukumu ya kila siku.
Hoja yangu ni kwamba,
Inawezekana Non-resident akawa na biashara hapa nchini kisheria,
Na kama ni Kampuni wanaweza wakafungua watu wawili yani Resident & Non-resident?
Ahsante, maelezo zaid ya hapo ntashukuru zaid.