Naomba msaada wa kisheria kuhusu dhamana. Kuna mtu kakamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Katika mashariti ya dhamana ni kwamba anatakiwa awe na wadhamini wawili watumishi, sasa swali langu; Je, mwalimu anaweza kumuwekea dhamama mtu kama huyo?