Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Deception,

Shukrani sana kwa kutuelimisha na tupo tayari kujifunza yale mengine uliyoyakusudia kuyatoa juu ya magonjwa mengine kama cancer, kisukari na kadhalika!

Mungu akupe afya na nguvu pamoja amani ya moyo wako!
 
Tunashukuru sana kwa kutuelimisha usichoke mkuu deception,lakini kabla ya kuanza maelekezo juu ya kutibu cancer na kisukari kwa faida ya watu wengi naomba utupe maelekezo namna ya kuandaa vifuatavyo ili kutuletea manufaa makubwa mwilini pindi tuvilapo;tangawizi,vitunguu swaumu,vitunguu maji,parachichi,apple,cabbege,ndizi mbivu na matunda mengine.pia maelekezo namna ya kuandaa mboga za majani umesema zisiive sana je kama hazitaiva vizuri hazina madhara mwilini? Na vipi ulaji wa cabbege ambayo haijapikwa kama kachumbari ina madhara yoyote mwilini?na nini faida ya cabbege mwilini. Tafadhali naomba maelekezo hapo nahitaji kujua juu ya hayo
 
Madaktari kama mpo naomba mkaifanyie kazi hii elimu, maana pamoja na uwezo wenu lakini si haba mmevuna hapa. maana hata bill gates alikacha shule na kuwaajili nyinyi mliosoma, so hata kwa mdau deception naona kuna akili ya ziada, maana naweza nikamwita prof. Maana hii imezidi hata research za mabilioni ya shilingi. Huyu jamaa yuko juu sana
 
Ninawashukuru wote kwa kutoa muda wenu wa kusoma na kuruhusu akili zenu kuhoji,ninawashukuru pia hata wale waliokuwa wanapinga kwa maana ndio wametufikisha hapa,bila wao pengine kuna mambo nisingeyaongelea.

Kuna mwenzetu mmoja ameshauri kwamba tabia hii ya kudadisi isiishie kwenye mambo haya tu,bali pia tujijenge katika kuhoji mambo mengine na kujali afya zetu kwa kupenda kula vyakula bora.Kuna mwingine aliomba maelekezo jinsi ya kuandaa baadhi ya vyakula vya asili,tutakwenda huko baadaye.

Nimefarijika kuona kumbe pamoja na uzito wa suala hili bado kuna watu wanapenda kujua mambo tofauti,hii itatusaidia sana kubadilika kifikra katika mambo mengine mageni kama hili.Kuna mambo mengi tulishafundishwa huko nyuma na kuona kwamba ndio sahihi,lakini ukweli ni kwamba yako tofauti kabisa na uhalisia,hii ni kwasababu,kuna watu wako kibiashara zaidi na wana mbinu kubwa sana za kudanganya kisayansi ili kurubuni akili za watu.

Mimi nimejijengea tabia ya kuhoji jambo lolote hata kama liko wazi kabisa,nimejijenga katika tabia hii muda mrefu sana tangu niko na miaka takribani 13 hivi.Nilipofika sekondari tabia hii ikazidi sana jinsi masomo yalivyozidi kuongeza ugumu.Hii ikanifanya kupenda zaidi masomo ya sayansi,nilipofika chuo kikuu nikachukua masomo hayohayo ya sayansi katika degree ya kwanza, na degree ya pili nikaendelea kuchukua masomo hayohayo nje ya nchi.Nje ya nchi nilizidi kuwa mdadisi zaidi kutokana na kukutana na tamaduni tofauti za watu.

Baadhi ya masomo yaliyoongeza uwezo wangu wa kufikiri ni Mathematics kama vile Algebra,Quantum Physics,Detection and estimation and Microprocessor programing.Kusoma masomo haya kumenifanya nione kwamba hakuna kitu kisichowezekana duniani kama binadamu ata stretch ubongo wake,na ndio elimu kama hizi watu wenye nia mbaya huzitumia kudhuru wengine ili kufanikisha malengo yao.Nimejieleza kwa ufupi kama mmoja wa wana JF alivyoomba.Nia yangu kubwa hapa ni kwamba,nimeshindwa kuvumilia kukaa na uelewa huu bila kuwashirikisha wengine hivyo ningependa watu wajue ukweli hata kama hawataufanyia kazi,lakini wameshajua,kujua ukweli kutawasaidia watu kwa namna nyingi sana.Kwa kushiriki na wengine elimu hii,nitakuwa nimeondoa dukuduku niliyonayo kwa muda mrefu.

Ningependa pia kuanza mada mpya na muhimu kwa watu wengi.Mada hii haitachukua muda mrefu sana kutokana na jinsi ilivyo.Nataka niwape ukweli kuhusu CANCER/SARATANI.Najua wengi wetu tumedanganywa kwa muda mrefu sana kwamba cancer haina tiba.Waliotudanganya wanaendelea kunufaika kwenye biashara hii kwa kuingiza trillions of dollars kila mwaka kwa kuuza dawa za cancer ambazo haziponyi na vifaa mbalimbali vinavyotumika kwenye hayo matibabu yasiyoponesha.

Ningeomba kupata ushauri wenu kuhusu mjadala huu mpya:Je,tuuendeleze kwenye uzi huu au tuanzishe uzi mwingine?

Kumbukeni:Kuelewa kwenu ndio faraja yangu,mimi nimesaidiwa sana katika maisha yangu tena na watu nisiowajua,hivyo hapa ninaondoa dukuduku moyoni kwa kuwasaidia wengine bila kulipia chochote.Nisingependa kulipwa chochote wakati wowote kwa sababu yoyote kwa kuwa roho yangu inakataa kufanya hivyo.Elimu hii ni bure na nitajitahidi kuitoa kwa kadiri ya uwezo wangu pale ninapokuwa na muda wa kufanya hivyo,cha msingi tu inabidi watu wajenge kumbukumbu ya kupitia humu JF pale wanapohitaji msaada wa kujua jambo fulani kati ya yale niliyokwisha au nitakayo zungumza.
 
Deception uko vizuri sana tunaomba tuanze Kwenye uzi mwingine! Cancer ime chukua shangazi zangu wa tatu na baba mkubwa, baba yangu amefight cancer hadi amerudi normal yaani cancer cells undetectable so hope to read more
 
Me pia nashauri huyu mkuu aanzishe uzi mwingine tofauti ili tuusome kwa utulivu kabisa! Jamaa yuko vizur aseee!! Unajua kansa ni tatizo ambalo mie hadi leo silielewi manake wengi wanaopigwa mionzi ndo wanakufa na nnaushahidi wa ndugu zangu wawili ambao walitibiwa kwa mionzi na hali yao ikawa nzuri kwa muda baadae mambo yalipobadilika ndo ikawa kwa heri
 
Me mwenyewe anko yangu ameded last week for this cancer
 
Nadhani huo mjadala Deception ungeanza kwenye uzi mwingine... ili watu waweze kwenda nao vizuri...

Deception uko vizuri sana tunaomba tuanze Kwenye uzi mwingine! Cancer ime chukua shangazi zangu wa tatu na baba mkubwa, baba yangu amefight cancer hadi amerudi normal yaani cancer cells undetectable so hope to read more


Me mwenyewe anko yangu ameded last week for this cancer

Deception i love youuuuu, ukianzisha uzi mwingine please nitag aiseeh

Sitaki sapoti ya yoyote tena naondoka kabisaa mr Deception

Madaktari kama mpo naomba mkaifanyie kazi hii elimu, maana pamoja na uwezo wenu lakini si haba mmevuna hapa. ......

Mkuu Deception Asante sana.

Tunashukuru sana kwa kutuelimisha usichoke mkuu deception,lakini kabla ya kuanza maelekezo juu ya kutibu cancer na kisukari ......

Deception,

Shukrani sana kwa kutuelimisha na tupo tayari kujifunza yale mengine uliyoyakusudia kuyatoa juu ya magonjwa mengine kama cancer, kisukari na kadhalika!

Mungu akupe afya na nguvu pamoja amani ya moyo wako!

Thanks kwa Elimu hii

Shukrani Deception.

Daah, aisee nashkuru sana DECEPTION,

kupitia elimu yako humu, nimewaelimisha watu wote kwenye familia, na hata marafiki wa karibu. Na nashkuru Mungu, wamenielewa na imewashangaza wengi..

Inafahamika kuwa mashoga ndio watumiaji wa madawa haya ya kulevya kwa wingi sanana kule Marekani walikuwa wanatumia mambo mengi sana ambayo ndio yaliyofanya kuonekana HIV+ na hili ni fact kabisa ....!!

Tuachane na hiv, walioelewa haya, ambao bado haya, the choice is yours. Twende kwa kisukari sasa na cancer. Coz haya yanaua sana kuliko hata hiv.


ilo liko wazi na linajulikanika kuwa HIV huwa haileti vifo bali huwa inaleta upungufu wa kinga mwili kwajl yaku shambulia kinga za mwili....


Nchi zote ulizotaja hapo juu zina masikini wakutupwa..fuatilia vizuri...

Kwanini Arvs zisitengenezwe watu watumie waishi wasiugue tena kama zina mantiki ya kuzuia uzalianaji wa virus .Dr.

nipoa nafatilia kwa umakini sana

Siamini kabisa kama kuna daktari aliye somea udaktari anaweza kusema kila mwenye TB basi ana virusi vya UKIMWI...!

Hahahahahahaaaaaaaaaaaaa...........

kama nesi flani ivi!!

Ukimwi mkuu.

Thanks ..ntabadilisha huo mwandiko .. Nilkua naandika kama ivo ili niokoe mda

Haya wakuu,njooni huku:

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/856800-hidden-cancer-cures.html

Naomba muwaite wengine ambao nimewasahau.Suala hili ni la watu wote.
 
Kaka Deception embu cheki hii kitu nimejaribu kutafuta nkakuta mahali nilisoma huko nyuma ulikuwa ukiulizia micrograph ya huyu mdudu je hii ndio nimekuta wanatumia je iko sahii au bado tunaendelea kupotoshwa?
 

Attachments

  • 1433831425888.jpg
    47.9 KB · Views: 355
Last edited by a moderator:

Hivi mijitu mingine huwa aielewi somo inabidi urudi darasani ndo huje hapa ulete hoja zako za kipuuzi hizo
 
Last edited by a moderator:
Huyu kupe ni mpuuzi anakichwa cha panzi ndo maana hataki kuelewa mi nadhani Warumi huachane naye mwanga tushapewa mkuu Deception hebu tupe samare ya hii kitu then uanze swala jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…