Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

mku kuna usemi wanasema hiv ni kirusi kilichotengezwa maabara na wanasayansi huko america kwa kusudi la kupunguza watu.
 
Hivi mijitu mingine huwa aielewi somo inabidi urudi darasani ndo huje hapa ulete hoja zako za kipuuzi hizo

Mkuu wangu hoja Za kipuuzi ni zipi hizo?,, umenisoma vzr au umekimbilia kuuliza tu, kuna member nili_mquote ikabidi nimuulize hizo ulizoita hoja Za kipuuzi. #deception namsoma vizuri na kumuelewa.
Asante.
 
Hii mada imenifanya nisikite sana,kwa sababu mama yangu mdogo alipimwa akakutwa HIV+ Na baba mdogo akakutwa HIV- mama mdogo alianza kusononeka na baada ya muda wakatokea washauri nasaha akaanzishiwa ARVs kidogo yupo vizuri lkn hana furaha kama mwanzoni,kwani anafikiria HIV=DEATH. Nadhani sasa hivi ni too late kumshauri chochote.But Mumewe pia licha kuwa na wasiwasi lkn hajawqhi kuwa HIV+ na wanaendelea kuishi wote.Siku ukweli ukijulikana na ukawa Publicised kwa kweli hao akina Gallo ni wa kusaga na kuwatupa baharini tu
 

Elimu ndogo ni hatari sana haswa unapojaribu kuwaelezea watu kama mtu aliebobea kwenye fani unayoelezea .Hapa sana sana umeonyesha kiwango cha dharau yako na majivuno uliyo nayo. Huja mwelimisha yeyote zaidi ya kuita tafiti feki, vipimo feki na hata tiba feki ya arvs. Maprofessor wa ulimwengu mzima wamekuna vipara toka miaka ya 1980 hadi uliposoma tafiti zao unazokosoa na wamekuja na mafanikio hayo kidogo. Sasa na wewe si utuandikie matokeo ya utafiti wako wewe kuliko kutuambia siku tutaujua ukweli Ukweli upi zaidi ya huo uliofanywa na hao wataalamu wenye taaluma zao?
 


Wana Jamvi ndio tunaweza kupambanua wenye akili ndogo VS walio na kasumba. Elimu ndogo si hatari kama kuwa na wasomi ambao hawajaelimika na hawajui kama hawajui .
Kwa uzi huu binafsi nimeongeza kitu . Haijalishi maprofessa wangapi wamekuna vichwa (it can all be part of the agenda) kudhihirisha kuwa ni kweli au la. Cha msingi mtu afuatilie hizi documentary , asome vitabu kadha wa kadha (Vimeainishwa kwenye uzi ukufuatilia) na kufanya personal decision.

Nakushauri tu soma kitabu cha "Deadly Medicine and Organized Crime" na usome ukiwa open minded yani weka ubongo wako wazi kuwa chochote chawezekana na kila chapter ujenge theory after theory . Lengo si kupinga tafiti na jitihada nzuri za afya ila kudadisi kwenye baadhi ya magonjwa yaliyokumbatiwa sana na itikadi, siasa na sera za siri kubwa kama kansa na HIV. Na ukiwa na case studies za watu ulioona wakipitia haya (wenye HIV bila ukimwi na bila ARV, au wenye HIV wakatumia ARV na nini kikawapata basi hiyo itakuwa sample nzuri zaidi kuliko kulalia theory za darasani tu.
 
ahsante deception wapenda kuelewa tumekupata nimechukia xana hawa washenz weupe pengne ningekua msaada kwa ndg zangu walopoteza maisha for dat kes ndugu deception mi nataka kufaham namna ya kutoa ile protein yaan ditector ya kipimo chao ndan ya mwili ili nipambane na hao wazungu kwa vita baridi
 
Upo uwezekano.Ndio maana kunakuwa na discordant couples katika vituo vya kupima ukimwi.Discordant couples ni wapenzi wawili wanaoenda kupima pamoja na mmoja wao akakutwa na virusi na mwenzio hana.
Uwezekano wa kutopata maambukizi unakuja iwapo hakuna maradhi mengine ya zinaa katika sehemu za siri na mwanamke ameandaliwa vizuri kabla ya kitendo.
 
Ukisema JF Moderators ni wasengerema unaweza kula ban. Lakini mtu anayedanganya maelfu ya watu ambao bahati mbaya wanamuamini kwa kuwa eti ametoa 'ushahidi' wa hoja zake wanamuacha aendelee kudanganya. Isn't it obvious that HIV/AIDS is real and it kills? Wangapi watakufa wakifuata huo ushauri wa kuacha kutumia ARVs? Mbona mambo ya kidini huwa moderators wanaingilia kati na kufunga thread? Please, spare us this extremely poisonous snake! Just imagine, mtu anajiita Deception!

According to WordWeb Dictionary:
Deception:
Noun:deception di'sep-shun
1.A misleading falsehood
2.The act of deceiving
3.An illusory feat; considered magical by naive observers
 
Mkuu Sooth ukiona kuna mtu anapotosha watu kwa kuleta uwongo basi wewe usimuache hivihivi ila badala yake lete ukweli wa kuleta hoja zenye kuvunja uwongo wake.
Mimi sitaki kufanya ligi na maisha ya watu. Huwezi kupinga jambo kubwa kama hili bila kufanya utafiti wa kina maabara. Sasa ndugu yako hajaleta evidence yoyote ya utafiti aliofanya yeye mwenyewe kwa mikono yake, analeta video za youtube na paper zilizoandikwa na Journal za jalalani (not reputable journals) bila kujali kwamba ktk mtandao kila mtu anaweza kupost lolote. Having lost a sister, an in-law and was about to loose a nice if it wasn't for ARVs, am entitled to be angry. My niece has been on ARVs for 10yrs now, and she is well and kicking that sometimes we forget that she is +! Those who passed away fought the disease for barely 2yrs before burrying them-there was no ARVs yet in TZ then.
 
Atalalaje peku kama vip alale hata na soksi si unajua usiku baridi
 
Umenifurahisha sana hiki ndio ninacho kisema watu wanaamini sana udaku ingia maabala fanya mwenyewe wengi hawawezi sababu hawana hizo taaluma pia hii nikujipa matumaini msicheze na maisha ya watu
 

mkuu sidahini kama hiki kitu ni kweli
 
'
1."Our bodies can get rid of the so called 'HIV' within few weeks if we have good immune system, without using drugs".

2."ARVs(not HIV) cause AIDS".

Je,una hoja za kupinga ukweli huu?Kama una hoja za kupinga ukweli huu lete hapa ili uokoe watu wasije kuangukia kwenye uongo ninaoleta mimi.Ukiona huwezi kujibu peke yako,ita madaktari unaowaamini waje kukusaidia kujibu.Ukipiga kelele kwa kupamba maandishi yako kwa lugha ya kizungu haitasaidia watu wenye nia ya kukuelewa.Acha jazba na hasira,lete hoja.Nakusubiri.
 
mkuu sidahini kama hiki kitu ni kweli

Pamoja na kukosea kuandika lakini najua ulikuwa na maana kwamba hudhani.Hapa hatuko kuleta hisia za dhana au makisio au mawazo yetu.Hapa ni facts/ukweli,kama hujui ukweli unakaa kimya,mwenye ukweli analeta ukweli,watu wanaelimika.

Mpaka sasa hakuna hata daktari mmoja aliyeweza kupinga kwa hoja kile nilichoeleza zaidi ya kuleta siasa,hisia na hasira za hovyo tu.

Hapa ndipo athari/matokeo chanya za/ya kitengo cha MIND CONTROL cha kina Rockefeller,Carnegie,Ford,Morgan na wenzao zinapojidhihirisha.Waathirika wa kitengo cha MIND CONTROL hawawezi kamwe kujitambua bila kupata msaada kutoka nje ya nafsi zao.

Mimi niko hapa kuwafanya mjitambue kama mtanihitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…