Hivi mijitu mingine huwa aielewi somo inabidi urudi darasani ndo huje hapa ulete hoja zako za kipuuzi hizo
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia HIV).
Elimu ndogo ni hatari sana haswa unapojaribu kuwaelezea watu kama mtu aliebobea kwenye fani unayoelezea .Hapa sana sana umeonyesha kiwango cha dharau yako na majivuno uliyo nayo. Huja mwelimisha yeyote zaidi ya kuita tafiti feki, vipimo feki na hata tiba feki ya arvs. Maprofessor wa ulimwengu mzima wamekuna vipara toka miaka ya 1980 hadi uliposoma tafiti zao unazokosoa na wamekuja na mafanikio hayo kidogo. Sasa na wewe si utuandikie matokeo ya utafiti wako wewe kuliko kutuambia siku tutaujua ukweli Ukweli upi zaidi ya huo uliofanywa na hao wataalamu wenye taaluma zao?
ile thread ya cancer inaitwa aje wakuu??
Mimi sitaki kufanya ligi na maisha ya watu. Huwezi kupinga jambo kubwa kama hili bila kufanya utafiti wa kina maabara. Sasa ndugu yako hajaleta evidence yoyote ya utafiti aliofanya yeye mwenyewe kwa mikono yake, analeta video za youtube na paper zilizoandikwa na Journal za jalalani (not reputable journals) bila kujali kwamba ktk mtandao kila mtu anaweza kupost lolote. Having lost a sister, an in-law and was about to loose a nice if it wasn't for ARVs, am entitled to be angry. My niece has been on ARVs for 10yrs now, and she is well and kicking that sometimes we forget that she is +! Those who passed away fought the disease for barely 2yrs before burrying them-there was no ARVs yet in TZ then.Mkuu Sooth ukiona kuna mtu anapotosha watu kwa kuleta uwongo basi wewe usimuache hivihivi ila badala yake lete ukweli wa kuleta hoja zenye kuvunja uwongo wake.
Wanaume wenye vibamia hawaambukizi ukimwi
Umenifurahisha sana hiki ndio ninacho kisema watu wanaamini sana udaku ingia maabala fanya mwenyewe wengi hawawezi sababu hawana hizo taaluma pia hii nikujipa matumaini msicheze na maisha ya watuMimi sitaki kufanya ligi na maisha ya watu. Huwezi kupinga jambo kubwa kama hili bila kufanya utafiti wa kina maabara. Sasa ndugu yako hajaleta evidence yoyote ya utafiti aliofanya yeye mwenyewe kwa mikono yake, analeta video za youtube na paper zilizoandikwa na Journal za jalalani (not reputable journals) bila kujali kwamba ktk mtandao kila mtu anaweza kupost lolote. Having lost a sister, an in-law and was about to loose a nice if it wasn't for ARVs, am entitled to be angry. My niece has been on ARVs for 10yrs now, and she is well and kicking that sometimes we forget that she is +! Those who passed away fought the disease for barely 2yrs before burrying them-there was no ARVs yet in TZ then.
Upo uwezekano.Ndio maana kunakuwa na discordant couples katika vituo vya kupima ukimwi.Discordant couples ni wapenzi wawili wanaoenda kupima pamoja na mmoja wao akakutwa na virusi na mwenzio hana.
Uwezekano wa kutopata maambukizi unakuja iwapo hakuna maradhi mengine ya zinaa katika sehemu za siri na mwanamke ameandaliwa vizuri kabla ya kitendo.
'Ukisema JF Moderators ni wasengerema unaweza kula ban. Lakini mtu anayedanganya maelfu ya watu ambao bahati mbaya wanamuamini kwa kuwa eti ametoa 'ushahidi' wa hoja zake wanamuacha aendelee kudanganya. Isn't it obvious that HIV/AIDS is real and it kills? Wangapi watakufa wakifuata huo ushauri wa kuacha kutumia ARVs? Mbona mambo ya kidini huwa moderators wanaingilia kati na kufunga thread? Please, spare us this extremely poisonous snake! Just imagine, mtu anajiita Deception!
According to WordWeb Dictionary:
Deception:
Noun:deception di'sep-shun
1.A misleading falsehood
2.The act of deceiving
3.An illusory feat; considered magical by naive observers
mkuu sidahini kama hiki kitu ni kweli