Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Cjaelewa mkuu unamanisha kila k2 ni feki kwa hyo watu wanaosemekana wana HIV ni uongo ama?na kama ni uongo je? wana ugonjwa gani
 
Mleta uzi bila shaka sasa hivi unatumia pills.
 
Cjaelewa mkuu unamanisha kila k2 ni feki kwa hyo watu wanaosemekana wana HIV ni uongo ama?na kama ni uongo je? wana ugonjwa gani
Ukimwi upo, asikudanganye mtu. Tumia akili ya kuzaliwa. Usiingie cha kike.
 
Kweli aisee kwa mwaka mtu anakula vidonge 365.baada ya miaka minne lazima apate madhara
 
Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na kunirudisha nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa kutafuniwa watakuwa wamepata mkombozi.
Deception umenifungua kitu,na mimi ntaendelea kufuatilia zaidi,shukran
 
Oi mwisho wake imekuaje? Ni miaka miwili sasa
 
Mmmmh!!! Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…