Je ingekuaje kama watu wangekuwa wanaonyesha CV zako kabla ya kuoana?

Solution ni TIME. Mtu hawezi ku pretend for two/three years. Tatizo la watu wengi ni kuparamia wadada/wakaka mitaani na kukimbilia kutangaza nia. Unasikia mdada "nimepata mchumba" sijuhi wachumba wanapatikana wapi????
Mtu anakutana na total stranger afu anajisifu amepata mchumba. Hapo ni kucheza kamali aisee.:A S-coffee:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…