Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Connecting dots..
Kama kuna wanasiasa nchini walioisanua ishu ya ADANI kupewa kitengo cha makontena bandarini, basi ni Abdul Nondo. Wakati ule sisi tukiwa busy na ishu ya bandari (kubwa) waliyochukua DP World, huku nyuma serikali ya Bongo fasta fasta ilikuwa ikimsogeza ADANI Jikoni ili apewe kitengo cha makontena.
Sasa tunajua ADANI anamsala huko Marekani kutokana na mlungula mrefu anaodaiwa kutembeza. Wakati huohuo Kenya napo kimenuka, Serikali ya Kenya imefuta mkataba iliyokuwa imeingia na ADANI. Hapa bongo kelele dhidi ya ADANI zilikuwa zimeanza mdogomdogo. Na mwanasiasa ambaye angeifanya ishu ya ADANI kuwa ni turufu yake ni Abdul Nondo maana alianza na hii ishu kitambo sana.
Je Ishu ya ADANI imemponza Abdul Nondo?
Waliokula hela ya ADANI wanataka kumziba kijana mdomo?
Abdul Nondo ambaye ni member mwenzetu hapa JF amewahi kuandika makala kuhusu ADANI hapa:
Soma Yapi mahusiano ya Adani Group na TICTS huko Bandarini?
Kama kuna wanasiasa nchini walioisanua ishu ya ADANI kupewa kitengo cha makontena bandarini, basi ni Abdul Nondo. Wakati ule sisi tukiwa busy na ishu ya bandari (kubwa) waliyochukua DP World, huku nyuma serikali ya Bongo fasta fasta ilikuwa ikimsogeza ADANI Jikoni ili apewe kitengo cha makontena.
Sasa tunajua ADANI anamsala huko Marekani kutokana na mlungula mrefu anaodaiwa kutembeza. Wakati huohuo Kenya napo kimenuka, Serikali ya Kenya imefuta mkataba iliyokuwa imeingia na ADANI. Hapa bongo kelele dhidi ya ADANI zilikuwa zimeanza mdogomdogo. Na mwanasiasa ambaye angeifanya ishu ya ADANI kuwa ni turufu yake ni Abdul Nondo maana alianza na hii ishu kitambo sana.
Je Ishu ya ADANI imemponza Abdul Nondo?
Waliokula hela ya ADANI wanataka kumziba kijana mdomo?
Abdul Nondo ambaye ni member mwenzetu hapa JF amewahi kuandika makala kuhusu ADANI hapa:
Soma Yapi mahusiano ya Adani Group na TICTS huko Bandarini?