Je, issue ya Masanja imeletwa kimkakati kututoa kwenye mjadala wa Trilioni 360?

Nchi ya DANGANYIKA lolote linaweza kutokea ila taarifa ya leo kutoka kwa j4 Muliro imemaliza utata,Jausi Steven amekufa kweli na alijinyonga hence Mke wa Baba mchungaji ameliwa pasipo na shaka.
 
Yan serikal ipoteze resources kisa kuwatoa watu ambao ni msikule ambayo hata uitekenye vp haifany chochote. Hahahaha. Mmepigwa mitozo kama lak8 hiv. Kimyaaa.... Ndo et had watengeneze stor yakuziba hzo 360.. hata zipigwe trilion 1000.. wa Tz watakaa kimya tu hahah
 
Kwenu misukule si ndio haohao kesho huwa viongozi? Au viongozi wanatoka sayari gani?
 
Wamepata nafasi ya kupumua
 
Vyote tutavijadili Tril 360 na Mtu kuliwa Uroda hawana uwezo wa kututoa tuna Akili kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…