Elections 2010 Je James Mbatia amevunja sheria za uchaguzi?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Jana 29/09/2010 James Mbatia, mgombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya NCCR – Mageuzi alikuwa akifanya Mkutano wa kampeni Tegeta zaidi ya saa 12.00 jioni (12.31). Hivi James atawafaa kweli wana-Kawe wakati hata sheria hazifuati? Hivi huu muda wa NEC saa 12 jioni maanake mpaka 12:59? Kama mwisho ni 12 kamili, sasa nyie NEC mko wapi kuwashughulikia hawa watu type ya JK? Kwa sababu mimi nimepita pale saa 12:31 na akiwa anaendelea!
 
pANDIKIZI LA CCM WALA USIJADILI LINALETA KICHEFUCHEFU
 
pANDIKIZI LA CCM WALA USIJADILI LINALETA KICHEFUCHEFU

Halafu ningekuwa fisadi kwa statement yako hii tu ulikuwa tayari una zawadi kubwa sana pamoja na pesa taslimu si pingufu ya million 10! Nimeipenda sana saikolojia yako! Kule Iringa Mjini sasa hivi yameshaungana vyama 15 ili kura zigawanyike kati ya menyewe, Chadema na CCM. Nia tu ni kuhakikisha CCM inaishinda Chadema. Yalijua yasipoungana, Chadema atashinda. ADUI MKUBWA WA WATANZANIA WAZALENDO ATAENDELEA KUWA SI CHAMA TAWALA ILA NI VYAMA UCHWALA, kama hicho cha huyo jamaa, kinajidai chama kondoo kumbe simba aliyevaa ngozi ya kondoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…