Elections 2010 Je, Jk ameanza kufunga Vilago Ikulu?

Elections 2010 Je, Jk ameanza kufunga Vilago Ikulu?

QUALITY

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2010
Posts
853
Reaction score
115
Ki utaratibu, Rais anayemaliza muda wake ameishaona kuwa kuna uwezekano wa kushindwa. Je ameishafunga vilago ili kama Dr. Slaa akishinda ampishe? Maana wengine wataniuliza eti, je akishinda? Hilo halina tatizo, atafungua vilivyo vyake ili aanze kutunyonya tena kwa miaka mitano na kuongeza muda wa mikataba mibovu.

Lakini akishindwa, asitucheleweshe kumwingiza rais wetu ili aanze kazi mara moja.
 
Back
Top Bottom