Je, JK atasaini au hatasaini Muswada huu wa Katiba?

Je, JK atasaini au hatasaini Muswada huu wa Katiba?

Nikupateje

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2009
Posts
1,334
Reaction score
989
Ndugu wanabodi,
Kama wengine nimesoma hotuba yote ya Rais wetu juzi, na nimeelewa kwamba Muswada utarudi bungeni.
Lakini sijaelewa kitakachoendelea.
Je, utarudi bungeni kwa sura ipi?
1: Je, ataurudisha baada ya kuusaini (assent) kuwa sheria?
2: Je, ataurudisha bila signature yake iliyoufanya uwe sheria ili ujadiliwe upya?

Jadili kusaidia kutafakari.
 
Back
Top Bottom