Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 989
Ndugu wanabodi,
Kama wengine nimesoma hotuba yote ya Rais wetu juzi, na nimeelewa kwamba Muswada utarudi bungeni.
Lakini sijaelewa kitakachoendelea.
Je, utarudi bungeni kwa sura ipi?
1: Je, ataurudisha baada ya kuusaini (assent) kuwa sheria?
2: Je, ataurudisha bila signature yake iliyoufanya uwe sheria ili ujadiliwe upya?
Jadili kusaidia kutafakari.
Kama wengine nimesoma hotuba yote ya Rais wetu juzi, na nimeelewa kwamba Muswada utarudi bungeni.
Lakini sijaelewa kitakachoendelea.
Je, utarudi bungeni kwa sura ipi?
1: Je, ataurudisha baada ya kuusaini (assent) kuwa sheria?
2: Je, ataurudisha bila signature yake iliyoufanya uwe sheria ili ujadiliwe upya?
Jadili kusaidia kutafakari.