Naongezea kwamba zao la ndizi lina adapt sehemu nyi gi TZ kikubwa ni maji. Kahawa ni segemu za bardi tu.
Kg mwisho wa reli, Mby, Songwe, Mbinga, Njombe yote, Kilimanjaro, Kagera.
Tafuta hayo maeneo.
Njombe unaweza pata hizo heka 200 kwa laki 300 kwa heka. Mbozi sijui mbeya ardhi ni ghali haipungui laki 500 kwa heka