Aaaah, bwanaeee, hakuna anayefurahia ugonjwa ama kifo, but kwenye hali kama hiyo just one day before harusi, hapa harusi inapigwa kama kawaida, then baada ya hapo tunaendelea na kuuguza. Hata ukiahirisha harusi kama ni ugonjwa ni ugonjwa tu, ama kama mtu kafariki ndo hivyo amekwishaondoka. Kinachotakiwa ni kuwaficha wahusika wasipewe taarifa ya uhalisia. Sasa kama akiendelea kuugua kwa mwezi ama zaidi, mtaahirisha hadi lini wakuu?? Ukichuzingatia gharama zilivyo katika harusi/send off, ni kupiga tu then mengine badaye.