Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwa matukio yanayoendelea kila kona sasa ya mkoa huu, ni wazi kamanda Muliro kazi imemzidi na hatoshi kwenye majukumu yake.
Kila kona ya Dar ni matukio ya wizi tu mara panya road, mara vishandu, mali zetu zinakuwa rehani. Majira ya usiku kwasasa kama huna usafiri binafsi ni hatari sana kwa jiji hili.
Lakini cha kushangaza RPC Muliro yeye yuko bize kuhudhuria matukio ya mechi katika dimba la Lupaso, kila kukiwa na mechi camera za Azam TV lazima zituoneshe. Kamanda amka toka usingizini, uliletwa Dar kwa mbwembwe nyingi sasa chapa kazi, ile operesheni uliyoiendesha kule Chanika ihamie na maeneo mengine ya Dar.
Kila kona ya Dar ni matukio ya wizi tu mara panya road, mara vishandu, mali zetu zinakuwa rehani. Majira ya usiku kwasasa kama huna usafiri binafsi ni hatari sana kwa jiji hili.
Lakini cha kushangaza RPC Muliro yeye yuko bize kuhudhuria matukio ya mechi katika dimba la Lupaso, kila kukiwa na mechi camera za Azam TV lazima zituoneshe. Kamanda amka toka usingizini, uliletwa Dar kwa mbwembwe nyingi sasa chapa kazi, ile operesheni uliyoiendesha kule Chanika ihamie na maeneo mengine ya Dar.