I wish I kud be RPC Watu wangezika mpaka wachoke, ni moto kwa kwenda mbele ilimradi tu tumethibitisha ww ni jambaz, mwizi, genge kama panya Road nk.
Wahalifu huwa wanaelewa risasi tu sio mahakama, ndio maana wanafungwa wakitoka wiki moja kafanya tukio tena.
Kwa waliokuwepo kipindi cha Tibaigana watakumbuka Dar ilikuwa haitawaliki, ni uporaji kwa kwenda mbele, alipoingia Kova mji ukawa baridiiii, ni chuma kwa kwenda mbele.
Muliro fanya kazi usisikilize sijui watetezi wa haki za binadamu kwenye wizi wakati wezi na wenyewe wanaua daily, piga chuma, tembeza shaba mwezi tu mji unapoa