Pre GE2025 Je, Kamata kamata bila haki na kuweka ndani watu haivurugi Amani kweli?

Pre GE2025 Je, Kamata kamata bila haki na kuweka ndani watu haivurugi Amani kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Tukio la kamatakamta la CHADEMA limetikisa nchi na kumchafua mama. Watu wameingiwa na hofu kuhusu uchaguzi ujao, je tufanye nini sasa?

Polisi lazima waangalie upya utendaji wao, wafanye kazi kwa weredi vinginevyo kwa tabia ya watanzania wanachukizwa sana na upendeleo wa chama kimoja. Hii ni kugombanisha Rais na wananchi na ku promote CHADEMA bila sababu. Ebu badilikeni.

Soma Pia
Tunakuomba Rais ulipitie Jeshi na mfumo wake ufanyie marekebisho kwa mujibu wa Tume ya Haki Jinai. Wananchi wana hasira na vitendo vya baadhi ya polisi wetu.
 
Mpango wa kumchafulia mtia Nia mapema wa urais coz System haikupanga awe yeye ,ye akataka awe yeye Kwa matakwa ya wajomba zake ili kufanikisha uwekezaji wa ardhi ya Tanganyika utakaofanywa na wajomba zake!
 
Polisi ccm wameiba simu ,yaani wezi,polisi ccm ni wabakaji
 
Amani gani wewe mchumia tumbo

USSR
 
Wapeleke shauri mahakamani wadai mali zao walizopoteza na kupigwa iwapo ni kweli.
 
Tukio la kamatakamta la CHADEMA limetikisa nchi na kumchafua mama. Watu wameingiwa na hofu kuhusu uchaguzi ujao, je tufanye nini sasa?

Polisi lazima waangalie upya utendaji wao, wafanye kazi kwa weredi vinginevyo kwa tabia ya watanzania wanachukizwa sana na upendeleo wa chama kimoja. Hii ni kugombanisha Rais na wananchi na ku promote CHADEMA bila sababu. Ebu badilikeni.

Soma Pia
Tunakuomba Rais ulipitie Jeshi na mfumo wake ufanyie marekebisho kwa mujibu wa Tume ya Haki Jinai. Wananchi wana hasira na vitendo vya baadhi ya polisi wetu.
Ukiona inavuruga amani nenda ikulu ukawaambie
 
Tukio la kamatakamta la CHADEMA limetikisa nchi na kumchafua mama. Watu wameingiwa na hofu kuhusu uchaguzi ujao, je tufanye nini sasa?

Polisi lazima waangalie upya utendaji wao, wafanye kazi kwa weredi vinginevyo kwa tabia ya watanzania wanachukizwa sana na upendeleo wa chama kimoja. Hii ni kugombanisha Rais na wananchi na ku promote CHADEMA bila sababu. Ebu badilikeni.

Soma Pia
Tunakuomba Rais ulipitie Jeshi na mfumo wake ufanyie marekebisho kwa mujibu wa Tume ya Haki Jinai. Wananchi wana hasira na vitendo vya baadhi ya polisi wetu.
Tatizo ni mfumo CCM mimi nilishaukataa tangu utotoni wewe je?
 
Tukio la kamatakamta la CHADEMA limetikisa nchi na kumchafua mama. Watu wameingiwa na hofu kuhusu uchaguzi ujao, je tufanye nini sasa?

Polisi lazima waangalie upya utendaji wao, wafanye kazi kwa weredi vinginevyo kwa tabia ya watanzania wanachukizwa sana na upendeleo wa chama kimoja. Hii ni kugombanisha Rais na wananchi na ku promote CHADEMA bila sababu. Ebu badilikeni.

Soma Pia
Tunakuomba Rais ulipitie Jeshi na mfumo wake ufanyie marekebisho kwa mujibu wa Tume ya Haki Jinai. Wananchi wana hasira na vitendo vya baadhi ya polisi wetu.
Huenda wametumwa je?
 
Chadema ni chama cha kihuni na wengi wao ni wavuta bangi.
 
Back
Top Bottom