MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
jamani mimi nataka kujiunga na chuo cha kampala international university kwa kozi ya Master in Business Administration kwani hicho chuo kimefungua tawi lake pale dar-es-salaam, je chuo hiki kinatambulika na mamlaka husika(TCU) nisije poteza pesa zangu bure,ni muda mrefu tumesikia ni feki,je kuna ukweli wowote
wajameni nipeni data za chuo hiki
wajameni nipeni data za chuo hiki