Je kampuni gani hutoa gawio zuri kwa wanahisa wake?

Je kampuni gani hutoa gawio zuri kwa wanahisa wake?

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Nataka kuingia katika uwekezaji wa hisa, naomba kujua yafuatayo: je kampuni gani inayotoa gawio (faida) nzuri kwa wawekezaji (wanahisa wake)?, pamoja na utaratibu wa kununua hisa upoje?. Pia, je utaratibu mzima wa hisa ulivyo hapa Tanzania? Naomba kuwakilisha.
 
NENDA DAR STOCK EXCHANGE AU TEMBELEA TOVUTI YAO HAYOYOTE YAKO HUKO,

hatahivyo unachanganya mambo mawili hapo, hisa zinazo uzwa na Dar stock exchange nitofauti na zinazo milikiwa na wanahisa/ watu wenye share kwenye kampuni
 
Sasa wap pazuri; DSE au kwa mawakala?
 
Back
Top Bottom