Je, Kampuni za Utalii wanawapata wapi watalii?

Je, Kampuni za Utalii wanawapata wapi watalii?

Joined
Feb 12, 2020
Posts
72
Reaction score
87
Habari, Naamini Kupitia uzi huu watu wengi Sana tutakwenda kunufaika Kupitia majibu yatakayotolewa katika swali langu:

Naamini kwa wakaazi wengi wa Arusha -Moshi, Zanzibar watakuwa ni shahidi wa hili, Tumekuwa tukiona watalii wanaongezeka au hata kupishana nao wakiwa katika magari yao au Historical sites na beaches lakini swali gumu ambalo najiuliza kila siku, Je hao watalii wanapatikana vipi?

Yaani Kampuni za Utalii wanawapata wapi wale wageni/Watalii.

Naomba Sana mwenye uelewa katika hili atupe ujuzi na Sisi.

NB) Kenyans Naomba mutupe madini

FppgPDxWIAAhknk.jpg
 
Kuna applications/platforms huwa wanazitumia kampuni kujitangaza online kwenye nchi mbalimbali,nimesahau kidogo jina la hiyo platform.
 
Yani somo la wana pata wapi watalii ni gumu sana kuelezea moja kwa moja lina mambo mengi sana, ila ku highlight kwa mbali ni kama hivi

1.Refferals, hapa wageni wako wa zamani wanaenda kutoa contact zako kwa wenzao pindi watakapo taka kuja huku wana kutafuta moja kwa moja. Na hapa si lazima wageni tu hata hawa ma volunteers, unaweza pata marafiki ambao ni ma foreigners ukaweza kujitangaza na wakafanya design hii ga marketing.

2.Online marketing, hapa ni kuwa na website na possibly online account zote bila kusahau kuwa na account kwenye platforms mbali mbali ambapo wazungu hupenda kuuliza degails za safari pindi wakitaka kuja na most of them wanakua hawaja chagua companies za kuwaleta huku mfano Reddit, Linkedin quora na website zingine kibao za utalii. Ukiwa active huko lazima upate pate na ujue kucheza na utundu wa ku direct traffic kwenye online account zako na website kwa ujumla.

3.Kuingia ubia na tour agency za nje. Hii ndo the most successful method kwa upeo wangu. Ukiwa na ubia na agency za kukuletea wageni basi probability yako ya kupata watalii ni kubwa zaidi ila kubali ku split hela itakayo patikana so ili faida iwe kubwa ni lazima upate wageni wengi na hovo basi gharama inakua kubwa zaidi na ndo maana makampuni makubwa yana succeed zaidi hapa kwa sababu mtaji upo!

Hizo ni njia common ninazo zifahamu zilizo direct ila kuna njia kibao wenye kazi yao wanajua namna ya kuchukua wageni.
 
Yani somo la wana pata wapi watalii ni gumu sana kuelezea moja kwa moja lina mambo mengi sana, ila ku highlight kwa mbali ni kama hivi

1.Refferals, hapa wageni wako wa zamani wanaenda kutoa contact zako kwa wenzao pindi watakapo taka kuja huku wana kutafuta moja kwa moja. Na hapa si lazima wageni tu hata hawa ma volunteers, unaweza pata marafiki ambao ni ma foreigners ukaweza kujitangaza na wakafanya design hii ga marketing.

2.Online marketing, hapa ni kuwa na website na possibly online account zote bila kusahau kuwa na account kwenye platforms mbali mbali ambapo wazungu hupenda kuuliza degails za safari pindi wakitaka kuja na most of them wanakua hawaja chagua companies za kuwaleta huku mfano Reddit, Linkedin quora na website zingine kibao za utalii. Ukiwa active huko lazima upate pate na ujue kucheza na utundu wa ku direct traffic kwenye online account zako na website kwa ujumla.

3.Kuingia ubia na tour agency za nje. Hii ndo the most successful method kwa upeo wangu. Ukiwa na ubia na agency za kukuletea wageni basi probability yako ya kupata watalii ni kubwa zaidi ila kubali ku split hela itakayo patikana so ili faida iwe kubwa ni lazima upate wageni wengi na hovo basi gharama inakua kubwa zaidi na ndo maana makampuni makubwa yana succeed zaidi hapa kwa sababu mtaji upo!

Hizo ni njia common ninazo zifahamu zilizo direct ila kuna njia kibao wenye kazi yao wanajua namna ya kuchukua wageni.
#Nondo
 
Habari, Naamini Kupitia uzi huu watu wengi Sana tutakwenda kunufaika Kupitia majibu yatakayotolewa katika swali langu:

Naamini kwa wakaazi wengi wa Arusha -Moshi, Zanzibar watakuwa ni shahidi wa hili, Tumekuwa tukiona watalii wanaongezeka au hata kupishana nao wakiwa katika magari yao au Historical sites na beaches lakini swali gumu ambalo najiuliza kila siku, Je hao watalii wanapatikana vipi?

Yaani Kampuni za Utalii wanawapata wapi wale wageni/Watalii.

Naomba Sana mwenye uelewa katika hili atupe ujuzi na Sisi.

NB) Kenyans Naomba mutupe madini

View attachment 2542183
Wazungu wanawaamini sana wazungu wenzao, ukipata Agency ya kukuletea wageni umewin.

Issue unapataje hizo Agency? Lazima ushiriki exhibition ulaya na Marekani for networking na connection.

To cut the story tourism industry siyo sehemu ya nitoke vipi inahitaji capital kubwa ikiwemo wewe muhusika kuwa na uwezo wa kusafiri nchi yeyote duniani.

Connection huwa hazikamiliki kwa simu tu na emails na WhatsApp, Bali physical meeting ndio inathibitisha commitment yako.

Ukiweza kumpandia ndege mzungu kumfuata ulaya kwa ajili ya meeting tu umemaliza kazi.

Otherwise ukitaka kuendesha kiujanja ujanja tu utaambulia kupata wazungu wachovu au wanafunzi ambao hata tip zao ni dollar 1 tu, ila ukideal na Agency akikubali kumuamini anakuletea matajili wake level mtu anakuja na private jet yake inapaki airport inamsubili mpaka amalize tour yake.
 
Back
Top Bottom