Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Kipi kinachokusadikisha ni watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?mkuu kwa ushauri wa bure kati ya mambo unayopaswa kuchunga ni kumsema mtu hasa mtumishi wa Mungu ambaye wewe huna ushaidi wa tuhuma hizo yatakukuta makuu msaada uupate kwake huyo huyo unayemsema. Usicheze na Mungu!
Wewe unajua kuna bible ipi na ipi?Bible ipi unawaagiza hao ndugu zako wasome?
Wewe dada imeandikwa watakuja manabii wa uongo nao watadanganya wengi yumkini hata wateule.watafanya maajabu ya uongo.Inahitajika roho ya kiinjilisti kurusha jambo la kiinjili humu. Nimesoma kimya kimya mwishowe nikaona bora niseme neno.
A piece of advice: usijaribu kumtetea mtu ambaye ambaye Mungu wake yuko hai.
Kipi kinachokusadikisha ni watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?
Ndugu yangu unajijengea hofu ya bure; kwani hao hawana kibali toka kwa Mungu bali ibilisi anayezurura hapa duniani kuharibu kazi za watu.
Kama kweli wahuni hao wana uwezo wa kuwaombea wagonjwa na wenye shida na kuwaponya kwa jina la "Yesu" (ingawa si Yesu wa kweli anayafanya kazi ndani yao) mbona hawaendi Bugandi, Ocean Road, Muhimbili, KCMC, Lugalo na kwingine ili wawaombee na kuwaponya wote wanaohangaika na kuteseka huko na Hospitali kubaki wazi?
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matendo yao" na ni kweli wanatambulika maana chema chajiuza, kibaya chajinadi na kujitembeza.
Kwao unapata uzushi, fitina, kupoteza mali na fedha, ulaghai, vitisho, uongo, kujikweza, usengenyi na kila aina ya uchafu!
Ni watoto wa ibilisi walio kazini kwa jina la Yesu. Alikwisha onya kwamba watakuja, wataponya, watafanya "miujiza" na kuhubiri kwa jina lake ingawa hatakuwa amewatuma! ukitakachukua ukweli huu au uuache.
Kipi kinachokusadikisha ni watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?
Ndugu yangu unajijengea hofu ya bure; kwani hao hawana kibali toka kwa Mungu bali ibilisi anayezurura hapa duniani kuharibu kazi za watu.
Kama kweli wahuni hao wana uwezo wa kuwaombea wagonjwa na wenye shida na kuwaponya kwa jina la "Yesu" (ingawa si Yesu wa kweli anayafanya kazi ndani yao) mbona hawaendi Bugandi, Ocean Road, Muhimbili, KCMC, Lugalo na kwingine ili wawaombee na kuwaponya wote wanaohangaika na kuteseka huko na Hospitali kubaki wazi?
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matendo yao" na ni kweli wanatambulika maana chema chajiuza, kibaya chajinadi na kujitembeza.
Kwao unapata uzushi, fitina, kupoteza mali na fedha, ulaghai, vitisho, uongo, kujikweza, usengenyi na kila aina ya uchafu!
Ni watoto wa ibilisi walio kazini kwa jina la Yesu. Alikwisha onya kwamba watakuja, wataponya, watafanya "miujiza" na kuhubiri kwa jina lake ingawa hatakuwa amewatuma! ukitakachukua ukweli huu au uuache.
Kipi kinachokusadikisha ni watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?
Ndugu yangu unajijengea hofu ya bure; kwani hao hawana kibali toka kwa Mungu bali ibilisi anayezurura hapa duniani kuharibu kazi za watu.
Kama kweli wahuni hao wana uwezo wa kuwaombea wagonjwa na wenye shida na kuwaponya kwa jina la "Yesu" (ingawa si Yesu wa kweli anayafanya kazi ndani yao) mbona hawaendi Bugandi, Ocean Road, Muhimbili, KCMC, Lugalo na kwingine ili wawaombee na kuwaponya wote wanaohangaika na kuteseka huko na Hospitali kubaki wazi?
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matendo yao" na ni kweli wanatambulika maana chema chajiuza, kibaya chajinadi na kujitembeza.
Kwao unapata uzushi, fitina, kupoteza mali na fedha, ulaghai, vitisho, uongo, kujikweza, usengenyi na kila aina ya uchafu!
Ni watoto wa ibilisi walio kazini kwa jina la Yesu. Alikwisha onya kwamba watakuja, wataponya, watafanya "miujiza" na kuhubiri kwa jina lake ingawa hatakuwa amewatuma! ukitakachukua ukweli huu au uuache.
Ni vema sana kuepuka kusema kwa ujasiri kitu ambacho kina husisha imani. Kama wewe usivyoamini kuwa kuna watumishi wa MUNGU, wapo wanaoamini kuwa wapo. So hii ni mitazamo miwili tofauti ambayo hakuna mwenye haki ya kusema kuwa yeye yuko sahihi kuliko mwingine kwa sababu ni masuala yahusuyo imani ya mtu. Jaribu kujitahidi kumconvince mtu aikubali imani yako kwa hoja na sio kashfa. ... umeuliza kipi kinasadikisha waamini kuwa ni watu wa MUNGU, wewe ni kii kinachokufanya usiamini kuwa ni watumishi wa MUNGU?................................................Suala la kwa nini wasiende kuombea wagonjwa wa mahospitalini bado ni suala la imani, hata hao wanaokwenda kuombewa huko kwenye mikutano sio wote wanaoponywa, ni kutokana na imani zao. Kama mtu hana imani kuwa yupo mwenye nguvu na uweza hata akiombewa akamwagiwa maji pipa hatopona. Na mwisho kumbuka anayeponyesha ni MUNGU na wala sio hawa watumishi wake ambao ni binadamu tu kama sisi. ILA nakubaliana na wewe kuwa wapo watumishi ambao si wa kweli maana hata katika vitabu vitukufu tumeaswa juu yao.
guys, natamani kwenda kwenye mahubiri ya mwakasege
kesho,kwa yeyote aliyepo mwanza ambaye kesho ataenda kwenye semina,anijulishe tupeane kampani.
Kipi kinachokusadikisha ni
watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina
aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda
mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na
vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?
Ndugu yangu unajijengea hofu ya bure; kwani hao hawana kibali toka kwa
Mungu bali ibilisi anayezurura hapa duniani kuharibu kazi za watu.
Kama kweli wahuni hao wana uwezo wa kuwaombea wagonjwa na wenye shida na
kuwaponya kwa jina la "Yesu" (ingawa si Yesu wa kweli anayafanya kazi
ndani yao) mbona hawaendi Bugandi, Ocean Road, Muhimbili, KCMC, Lugalo
na kwingine ili wawaombee na kuwaponya wote wanaohangaika na kuteseka
huko na Hospitali kubaki wazi?
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matendo yao" na ni kweli wanatambulika
maana chema chajiuza, kibaya chajinadi na kujitembeza.
Kwao unapata uzushi, fitina, kupoteza mali na fedha, ulaghai, vitisho,
uongo, kujikweza, usengenyi na kila aina ya uchafu!
Ni watoto wa ibilisi walio kazini kwa jina la Yesu. Alikwisha onya
kwamba watakuja, wataponya, watafanya "miujiza" na kuhubiri kwa jina
lake ingawa hatakuwa amewatuma! ukitakachukua ukweli huu au
uuache.
wale wa mwakasege jamani me ndo naelekea.
Kipi kinachokusadikisha ni watumishi wa Mungu? Kutumia Biblia ambayo hata hivyo wanaitafsiri kiaina aina? Kufanya mazingaombwe mawili, matatu hata mia ambayo baada ya muda mambo hurejea kama kawaida? Au makoti na tai ndefundefu, magauni na vilemba vya bei mbaya na perfume wanazonunua kwa ngawira zenu?
Ndugu yangu unajijengea hofu ya bure; kwani hao hawana kibali toka kwa Mungu bali ibilisi anayezurura hapa duniani kuharibu kazi za watu.
Kama kweli wahuni hao wana uwezo wa kuwaombea wagonjwa na wenye shida na kuwaponya kwa jina la "Yesu" (ingawa si Yesu wa kweli anayafanya kazi ndani yao) mbona hawaendi Bugandi, Ocean Road, Muhimbili, KCMC, Lugalo na kwingine ili wawaombee na kuwaponya wote wanaohangaika na kuteseka huko na Hospitali kubaki wazi?
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matendo yao" na ni kweli wanatambulika maana chema chajiuza, kibaya chajinadi na kujitembeza.
Kwao unapata uzushi, fitina, kupoteza mali na fedha, ulaghai, vitisho, uongo, kujikweza, usengenyi na kila aina ya uchafu!
Ni watoto wa ibilisi walio kazini kwa jina la Yesu. Alikwisha onya kwamba watakuja, wataponya, watafanya "miujiza" na kuhubiri kwa jina lake ingawa hatakuwa amewatuma! ukitakachukua ukweli huu au uuache.
We kama unaamini ni ibilisi kaa hivyo hivyo, anaeamini ni mtumishi wa mungu basi mwache aamini! We ni nani hata useme uliyosema? na kwa uzoefu tu we ni mwislam jaribu kuheshim iman za watu.
Duh....MMU imevamiwaguys, natamani kwenda kwenye mahubiri ya mwakasege
kesho,kwa yeyote aliyepo mwanza ambaye kesho ataenda kwenye semina,anijulishe tupeane kampani.
Mwakasege kaanza lini utapeli?Kaliwe hela yako na tapeli.
umekomaa kusema si watumishi wa Mungu ila hujaweka wazi wapi ndio watumish. Kwani hujui hata Yesu alipokuwa duniani katika mwili hakuponya kila mgonjwa ila wale waliokuwa na haja, au unataka kujitoa ufahamu kuwa hata kipindi cha Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi ktk Israel na aliyeponywa alikuwa Naaman ambaye si Mwisrael? Au umesahau pia wakati wa Eliya kulikuwa na wajane wengi ila muujiza wa chakula ulifanyika kwa mama mjane wa Serepta tu? Je umesahau kuwa pia Yesu alipokuwa duniani hakufufua kila mtu ila watu watatu tu?
Ok unasema wanataka pesa umesahau pia kanisa la kwanza liliuuza kila kitu kwa ajili ya Injili?(matendo 4:32-37)
Kama hujui Mungu akurehemu, ila kama unajua WEWE NI AGENT WA MPINGA KRISTO.