Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Hata mimi naona kumpelekea m/ume mwenzio hela ya bure tu akaishi maisha mazuri kama Lusekelo au mjanja kakobe.
Poleni sana ambao bado mpo gizani.
Wanamwanza msiende na wake zenu jamaa anatisha kwa kuiba wake za watu huyu tahadhari
Mwakasege sio mtumishi wa Mungu wa kweli bali wa Ibilisi.
Tena ishindwe kwa damu ya Yesu!
guys, natamani kwenda kwenye mahubiri ya mwakasege
kesho,kwa yeyote aliyepo mwanza ambaye kesho ataenda kwenye semina,anijulishe tupeane kampani.
haaa kumbe yupo Mwanza na siku akija DSM,Utuambie hapa jukwaani,huko mwanza atasema ratiba zake kwa mwaka huu so utujulishe bana......nenda ukavune busara huko,na mchumba utapata.....guys, natamani kwenda kwenye mahubiri ya mwakasege
kesho,kwa yeyote aliyepo mwanza ambaye kesho ataenda kwenye semina,anijulishe tupeane kampani.
haaa kumbe yupo Mwanza na siku akija DSM,Utuambie hapa jukwaani,huko mwanza atasema ratiba zake kwa mwaka huu so utujulishe bana......nenda ukavune busara huko,na mchumba utapata.....
guys, natamani kwenda kwenye mahubiri ya mwakasege
kesho,kwa yeyote aliyepo mwanza ambaye kesho ataenda kwenye semina,anijulishe tupeane kampani.
Kesho nistue.
Nilikuchelewa shetani mkubwa mkubwa wewe. (shetani = Muongo)Wanamwanza msiende na wake zenu jamaa anatisha kwa kuiba wake za watu huyu tahadhari
uko wapi tukupe ratibai wish ningekua Mwanza.
dah,siku ile sijui tumechengana wapi asee,nikaja hadi pale furahisha sioni mtu,au ulipata kampani ewe mwanakondoo ukaamue kuniacha?.usijali ntawajulisha,leo tumeombewa wadada na wakaka ambao hatujaolewa mapepo yamelipukaje!soon tunaenda kupiga vigelegele,mwaka hauishi.nimewaombea wakaka na wadada wa jf pia.
dah,siku ile sijui tumechengana wapi asee,nikaja hadi pale furahisha sioni mtu,au ulipata kampani ewe mwanakondoo ukaamue kuniacha?.
hahahah,we acha tu,sijui tulichenganaje!leo ulikuwepo?kesho twende.
nikustue sangapi?utakua online?
deserted mindumekosea jukwaa nenda habari mchanganyiko.nilikuja mbio nilijua unampenda au amefumaniwa.
nenda peke yako, siku ya hukumu utakuwa peke yako