Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?

Kinachofurahisha kuhusu huyu jamaa ni kwamba jumapili anaingia kanisani kama waumini wengine tu.

HAJIKWEZI KWA HALI YOYOTE, NA ANAKUWA MYENYEKEVU SANA KWA WACHUNGAJI.

wANAJARIBU KUMPA VITI VYA MBEELE KANISANI, japo yeye asingependa iwe hivyo.

Anasikiliza kwa utulivu mahubiri ya wachungaji wake kama vile hajui kitu.!

Mungu mbariki sana mtu huyu.

Nchi ya Tanzania inahitaji sana watu wa namna ya mtu huyu, maana ndo wanaosababisha nchi hii angalau iwe na amani iliyopo, na ana uwezo wa kusoma alama za nyakati za kiuchumi wa taifa hili na za kiroho.

Mungu mbariki mtu huyu tena.
 
Jamani
nimefurahiswa kuona mnavyomsifia makwasege ombi langu
tusiwe tu wahudhuriaji wa semina zake,,,tufanye yale anayoubiri
tusiwe watu wa kusiia;mwakasege ameokoa roho yake nafurahi ata mungu ameona maandishi hya je wewe roho yako itakuwa wapi;badilika ishi na neno la mungu achana na zinaa;dhambi,ulevi,uasherati,ufiraji na mengine kama hayo
ukifnya hayo utakuwa unampongeza zaidi mwakasege huku malaika wa mbinguni wakishangilia;acha kubaki mshangiliaji ama mkosoaji wa watumishi wa mungu anza kufurahia matunda yao kwa kufwata yale mungu anayowatumia kukuabilisha wewe hapo utakuwa unamfurahisa mungu na mwakasege kwa ujumla
mungu akusaidie hili in jesus name
 

Nimekiubali maonin yako Mkuu Ngongo. Chris Mwakasege ni Mwalimu zuri sana. Namkubali sana nahuwa sibanduki ninapomsikiliza redioni au kwenye TV. Wana MKWAWA HIGH SCHOOL mwaka 1976-1977 mnamkumbuka Chiris hasa darasa la PCB (B1)?
 
Amen.
 
ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?


huyu ni mtumishi wa kweli hata huduma zake zinavyokwenda ni katika misingi ya kweli ya kumtumikia mungu. Na hakika kama unatembea katika roho kweli utaona mambo mengi sana katika mikutano yake, na hasa ukijitoa kweli kuombea mikutano yake mungu anakuonyesha mambo mengi sana. Mungu amuweke.
 
Hii ni time table yake ya mwaka huu kwanzia january mpaka june

Please tuudhurie jamani, hizi ni nyakati za mwisho...kila ishara

zimeshaonekana. b blassed!
 

Attachments

  • mwakasegetimetable.JPG
    91.4 KB · Views: 284
Uffff!
Unajua nilipoiona hii thread niliogopa kuifungua, nikasema haya na huyu naye anashambuliwa kwa lipi tena!. Mwisho nikajipa moyo nikasema ngoja tu nifungue nione, yaani nimefurahi kuona kumbe sivyo. Kumbe watu wa Mungu mmeona jinsi mtumishi wa Mungu alivyojitoa kuitenda kazi ya Bwana, Mungu awabariki sana wote kwa comment zenu. Niliingiwa na wasiwasi sababu thread zimekuwa nyingi za kuwasema watumishi wa Mungu mpaka nikasema isije ikawa JF sasa ikatumika kuwakatisha tamaa watumishi wa Mungu. NIMEFURAHI SANA, MBARIKIWE!
 

mwalimu Mwakasege ni mtu wa kuigwa tena kabisa ningefurahi wahubiri wengine wangeiga haswa system yake anayotumia kuendesha huduma yake, na anachofurahisha hata siku moja sijawahi msikia akikandia dini ya mwenzake, wala mchungaji fulani, wala askofu fulani, wahubiri wengine maranyingine tunashindwa kuwatofautisha na wanasia, wanapingana waziwazi hadharani mpaka wanatia aibu

Mungu naomba uendelee kumbariki huyu mtumishi wako Mwalimu Mwakasege pamoja na wetenda kazi wake woooote
 

Kwakweli mi sina la kuongea zaidi ya kuwaomba kuwa TUZIDI KUMUOMBEA mtumishi wa Mungu.
Mwaka jana ilifanyika toba ya kitaifa pamoja na maombi mbali mbali pale Biafra kinondoni.
Nashukuru sana nilikuwa mmoja wa watu tuliokwenda kuliombea taifa letu.
Tena kuna kitu ambacho NILIOMBA kuhusu nchi yetu, nashukuru hicho kitu kinaanza kijidhiliriha, kweli Mungu mkubwa.
 
Yap ni mtumishi wa bwana anahubiri sana na maubiri yake mazuri hayalengi kwenye uvunjifu wa amani.Asante sana mwalimu mwakasege
 
Huyu si ndiye yule tapeli aliyesema Haiti wamepata maafa kwa sababu ya uchawi?

Na yeye tapeli mchawi tu.
 
Huyu si ndiye yule tapeli aliyesema Haiti wamepata maafa kwa sababu ya uchawi?

Na yeye tapeli mchawi tu.

Nafikiri unahitaji maombi ili ubadilike. Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema atakusamehe bure.
 
Huyu si ndiye yule tapeli aliyesema Haiti wamepata maafa kwa sababu ya uchawi?

Na yeye tapeli mchawi tu.

unavyomuita tapeli uankosea saana namwomba Mungu akusamehe kwa maana hujui ulilolinena hapa, Mara nyingi kama huna rohu wa Mungu ni vigumu saana kuelewa baadhi ya mafundisho ya huyu mtumishi wa Mungu,Kuna mambo yananenwa kwa msaada Mungu Roho Mtakatifu ni vigumu saana kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…