Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 579
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Mhubiri,
je kanisa lake liko wapi?
Christopher Mwakasege is a true servant of God. Mtawatambua kwa matunda yao. Matunda yake kwa muonekano na kwa malisho ni upendo, uvumilivu, utu wema, upole, kiasi, fadhili, unyenyekevu,amani na uaminifu.
Sasa kama haya yote tunayaona kwa mtu si ndio tunda la roho hilo, kwani tangu lini mbuyu ukazaa maembe?
Mungu yupo kila mahali na anasikia kwa lugha yoyote utakayoitumia. lakini kwenda Israel sio kosa maana ni hija ya hiari. Kama mtu anaamini kwamba atasikilizwa zaidi na Mungu wake akienda kukanyaga ardhi iliyokanyagwa na Bwana Yesu na Watakatifu wa kale, ruksa. Maana Mungu anaangalia moyo na wala hababaishwi na sura ya mtu.Mwalimu Mwakasege yuko juu sana huwezi kumlinganisha na watumishi wengi kwasababu moja kubwa,hafungwi na minyororo ya madhehebu.Nimewahi kuhudhuria semina nyingi za Bwana Mwakasege sikuwahi kumsikia hata siku moja akiwaelekeza watu waende kwenye dhehebu fulani fulani.
Kuna kasoro moja kubwa ambayo nimeiona kwa Bwana Mwakasege siku za karibuni amejikita sana kuwahimiza watu kwenda Israel.Amefikia hatua ya kuandaa safari za kwenda Israel kwa wanandoa as if uponyaji unapatikana unapokwenda Israel.Bwana mwakasege ndiye aliyemshauri E Ngoyai Elowassa kwenda Israel mara baada ya kuitia hasara kubwa nchi yetu na mkataba wa RICHMOND badala ya kumshauri aombe radhi watanzania kwa uzembe anamshauri aende Israel.
Mwalimu Mwakasege yuko juu sana huwezi kumlinganisha na watumishi wengi kwasababu moja kubwa,hafungwi na minyororo ya madhehebu.Nimewahi kuhudhuria semina nyingi za Bwana Mwakasege sikuwahi kumsikia hata siku moja akiwaelekeza watu waende kwenye dhehebu fulani fulani.
Kuna kasoro moja kubwa ambayo nimeiona kwa Bwana Mwakasege siku za karibuni amejikita sana kuwahimiza watu kwenda Israel.Amefikia hatua ya kuandaa safari za kwenda Israel kwa wanandoa as if uponyaji unapatikana unapokwenda Israel.Bwana mwakasege ndiye aliyemshauri E Ngoyai Elowassa kwenda Israel mara baada ya kuitia hasara kubwa nchi yetu na mkataba wa RICHMOND badala ya kumshauri aombe radhi watanzania kwa uzembe anamshauri aende Israel.
kazi ipo!Mwishoni mwa mwaka 2000s alikorofishana na aliyekuwa katibu mkuu wa KKKT Bwana Mwegoha akaacha kazi na kuanzisha NGO yake inayojishulisha na masuala ya mipango [uchumi].
Fafanua please huelewekiHakika Tanzania inaendelea kujengwa na wenye mioyo migumu wachache na kuliwa na wenye meno wachache wakati wengi wa watanzania wameduwaa wakiwa hawaelewi kinachotokea. Utamaduni wa kazi na uthamani wake kujenga ubinadamu umepotezwa. Jawabu tufanye kazi n a kumuweka Mungu mbele.Hatuhitaji watalaam kuhusu hili kwani sote tunajua.
Da,
Bora nimpeleke kwa Joti wa ze comedy kuliko kwa hao jamaa wajasiriamali
Duh nimefurahi jinsi watu walivyomueleza Mwalimu Mwakasege next time nitaomba mnipe wasifu wa Nabii na Mtume Mwingira, nitapenda sana kumjua huyu mtu kiundani. manake kamkamata mke wangu na kanisa lake.
mhh......nasikia mna kanisa lenu pale Ubungo mnafufua misukule.....Ni mwalimu mzuri.
Nilipookoka alikuwa mwalimu wangu mzuri wa kwanza kwa njia ya kanda. Mafundisho yake yalinijenga sana na kunipa mwanzo mzuri sana.
sijawahi kumuona physicaly na bado sijapata bahati kuhudhuria moja ya semina zake labda namuona katika tv.