Mr possibility
Senior Member
- Mar 19, 2020
- 175
- 134
Hahahahahah wewe umekengeuka wewe.matendo ndio option tuliyobaki nayo wanadamu kuuona ufalme wa Mungu! Jumapili njemaDhambi zako si kutu, na Mungu anapokua hataki kuonana na mwanadamu ni kwasababu tumefanya uzinzi kumuacha yeye na kwenda kuabudu miungu mingine..
Mungu hakutani na mtu asie mwamini,
Ili kama unamuamin na unadhambi zingine mnakutana vizuri tu.
Note:
tumepokea msamaha wa dhambi kwa njia ya imani, na wala sio matendo ( matendo hayampeleki mtu mbinguni)
Dhambi zako si kutu, na Mungu anapokua hataki kuonana na mwanadamu ni kwasababu tumefanya uzinzi kumuacha yeye na kwenda kuabudu miungu mingine..
Mungu hakutani na mtu asie mwamini,
Ili kama unamuamin na unadhambi zingine mnakutana vizuri tu.
Note:
tumepokea msamaha wa dhambi kwa njia ya imani, na wala sio matendo ( matendo hayampeleki mtu mbinguni)
Hahahaha [emoji23][emoji23] sijaona jibu lolote la maana zaidi ya bla! bla! Tu.
Mtoa mada usitegemee jibu la maana zaidi ya comedy na sarakasi hili swali lako ni gumu mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] n bla bla tuu sio
Swali ni kwa nini shetani alipata haki ya kukutana na Mungu wakati tunaamini yeye ndo mdhambi kuliko?? Kwa hyo unamaanisha shetani alikutana na Mungu kwa sababu anamuamini Mungu???
Hahahahahah wewe umekengeuka wewe.matendo ndio option tuliyobaki nayo wanadamu kuuona ufalme wa Mungu! Jumapili njema
Hili swali gumu watu wanazurura tu!
Ngoja nitulie hapa nisubiri jibu kutoka kwa wachungaji mida yao kutoka ibadani inakaribia.
Asante tunasubiri jibu mkuu.Hapana mleta Mada kauliza swali jepesi Sanaa.
Hakuna ugumu, mkikosa majibu nitawajibu kwa facts pamoja na Neno (Biblia)
CCM ndio mawakala wa shetani!/Super AgentsLeo jumapili, siku ya wakristo ama madhehebu mengi ya kikiristo kuabudu ama kusali.
Hivyo basi naomba tutafakari jambo moja la imani, je kati ya shetani na binadamu ni nani hasa mwenye dhambi nyingi zaidi?
Maandiko yanasema Mungu ni mtakatifu sana asie na mawaa, ambae dhambi ama uovu haukai ama hauwezi kukaa karibu yake. Mfano mzuri ni kwa Musa, aliambiwa hawezi kumuona Mungu kwa sababu binadamu ni wadhambi wa kuzaliwa.
Binadamu tunaambiwa sisi ni wadhambi hatuwezi kumkaribia Mungu, tunaambiwa sisi ni wadhambi wa kuzaliwa kwa sababu ya Adam, (wakati huo huo biblia inasema Mungu alitujua kabla ya kuumba misingi ya ulimwengu, maana yake alijua atatuumba wenye dhambi tu hata kabla hajatuumba) there was no way adamu asitende dhambi kwa sababu Mungu alijua kabla ya kumuumba kua atatenda dhambi.
Tukiachana na hayo, kwenye hadithi za Ayubu, shetani ananekana kukutana na Mungu na kupiga soga nyingi hadi kukubaliana kumjaribu Ayubu. Hivyo inaonekana ni kawaida kwa shetani na Mungu kukutana. Hatuambiwi wanakutana wapi.
Hoja yangu ni je, kati ya shetani na binadamu ni nani hasa mwenye dhambi nyingi ambae haruhusiwi kumkaribia Mungu? Maovu yote Duniani tunaambiwa yameletwa na shetani lakini shetani huyo huyo anaruhusiwa kukutana na Mungu na kupiga soga tena za kiurafiki kabisa. Binadamu ambae ameletewa dhambi yeye haruhusiwi kumkaribia Mungu, je binadamu ni mdhambi kuliko shetani?
Watu wa dini naombeni mawazo yenu.
Hivyo Mungu anapokutana na shetani, shetani anakua anamuamini Mungu?Dhambi zako si kutu, na Mungu anapokua hataki kuonana na mwanadamu ni kwasababu tumefanya uzinzi kumuacha yeye na kwenda kuabudu miungu mingine..
Mungu hakutani na mtu asie mwamini,
Ili kama unamuamin na unadhambi zingine mnakutana vizuri tu.
Note:
tumepokea msamaha wa dhambi kwa njia ya imani, na wala sio matendo ( matendo hayampeleki mtu mbinguni)
Kama ile waliyofanya majambazi ya ccm tarehe 28 October 2020.Kuna dhambi mwanadamu anafanya shetani mwenyewe akiona anatimua mbio