Jnk official
Member
- Nov 25, 2024
- 24
- 20
Habarini?
Nimekaa nikatafakari nikaona nivyema niende kusomea ufundi katika vyuo vya tena na kozi nayoipenda kwenda kusomea ni kozi ya umeme lakini nimekua na swali nijiulizalo pasipo kupata majibu kwamba kati ya umeme wa magari na umeme wa majumbani ni kozi gani nikisomea kozi ndefu inalipa vzur katka kuajiriwa/kujiajiri
Naomba wanaojua kuhusu hili mnipe muongozo tafadharini....🙏🙏🙏
Nimekaa nikatafakari nikaona nivyema niende kusomea ufundi katika vyuo vya tena na kozi nayoipenda kwenda kusomea ni kozi ya umeme lakini nimekua na swali nijiulizalo pasipo kupata majibu kwamba kati ya umeme wa magari na umeme wa majumbani ni kozi gani nikisomea kozi ndefu inalipa vzur katka kuajiriwa/kujiajiri
Naomba wanaojua kuhusu hili mnipe muongozo tafadharini....🙏🙏🙏