Jnk official
Member
- Nov 25, 2024
- 24
- 20
Jifunze vyote kama utawezaHabarini?
Nimekaa nikatafakari nikaona nivyema niende kusomea ufundi katika vyuo vya tena na kozi nayoipenda kwenda kusomea ni kozi ya umeme lakini nimekua na swali nijiulizalo pasipo kupata majibu kwamba kati ya umeme wa magari na umeme wa majumbani ni kozi gani nikisomea kozi ndefu inalipa vzur katka kuajiriwa/kujiajiri
Naomba wanaojua kuhusu hili mnipe muongozo tafadharini....🙏🙏🙏
Vyote sawa ni Wewe tuu unajua jinsi Gani ya kucheza karata zako uraiani!Habarini?
Nimekaa nikatafakari nikaona nivyema niende kusomea ufundi katika vyuo vya tena na kozi nayoipenda kwenda kusomea ni kozi ya umeme lakini nimekua na swali nijiulizalo pasipo kupata majibu kwamba kati ya umeme wa magari na umeme wa majumbani ni kozi gani nikisomea kozi ndefu inalipa vzur katka kuajiriwa/kujiajiri
Naomba wanaojua kuhusu hili mnipe muongozo tafadharini....🙏🙏🙏
🙏🙏🙏Jifunze vyote kama utaweza
kwani wamajumbani mjini hauna hela?Umeme wa majumbani una fursa kubwa na nyingi kulipo wa magari. Ingawaje umeme wa magari unalipa vizuri .
Sikuhizi watu wanajitahidi kumiliki magari ambayo hayajachoka sana na hawapendi magari spana mkononi.
Ila umeme wa majumbani umetamalaki hadi vijijini nyumba za tope zinaunganishwa na umeme kupitia REA.
Ukiwa unalenga uwe unapata kipato kidogokidogo mara nyingi sehemu yeyote hata vijijini somea umeme wa majumbani, ila kama unataka malipo makubwa makubwa kwa mara chachechache maeneo ya mijini, somea umeme wa magari
Munyio munyokhweKwanza tujue kama una degree ya fani yoyote mpaka uulizie kazi za ufundi?
kona isondo, enda homewaMunyio munyokhwe
Ulegwa lukundu lwako na lukosi nze maii ma mbulikona isondo, enda homewa
Hahahaa, waziri mkuu kaagiza waende veta maana kule vyuo vikuu walipoteza muda tuu.Nenda VETA majibu yako huko kijana. Una degree au masters?
Wabadilishe vyuo vikuu vyote viwe veta sasaHahahaa, waziri mkuu kaagiza waende veta maana kule vyuo vikuu walipoteza muda tuu.
Hii ndiyo point sasa, badala ya kupotezeana muda wageuze vyuo vikuu viwe veta.Wabadilishe vyuo vikuu vyote viwe veta sasa
nio ako iamahie iijue ut'hoghweUlegwa lukundu lwako na lukosi nze maii ma mbuli