ONJO
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 216
- 265
Habari zenu wanaharakati..
Nimekubali kuwa mjinga ili nielewe umhimu wa kuwa na katiba mpya.
Najieleza, katiba ni muhimu kwa nchi yeyote kwani ndiyo inayotoa mwongozo katika utungaji wa sheria na kanuni, na ni mwongozo katika utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo hasa taifa la tanzania.
Hoja yangu ya msingi ni kwamba pamoja na dosari ambazo zipo kwenye katiba yetu. Je, zikirekebishwa zitaweza kusukuma maendeleo kwa kasi? Au tutahitaji tena kuwa na kiongozi mwenye maono?
Je ndio kusema Tanzania ni masikini kwakuwa katiba yake ni mbovu?
Tuwekane wazi wanaharakati ili tujue kuamua kipi ni kizuri na kipi ni kibaya.
Na ONJO mpenzi wenu.
Nimekubali kuwa mjinga ili nielewe umhimu wa kuwa na katiba mpya.
Najieleza, katiba ni muhimu kwa nchi yeyote kwani ndiyo inayotoa mwongozo katika utungaji wa sheria na kanuni, na ni mwongozo katika utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo hasa taifa la tanzania.
Hoja yangu ya msingi ni kwamba pamoja na dosari ambazo zipo kwenye katiba yetu. Je, zikirekebishwa zitaweza kusukuma maendeleo kwa kasi? Au tutahitaji tena kuwa na kiongozi mwenye maono?
Je ndio kusema Tanzania ni masikini kwakuwa katiba yake ni mbovu?
Tuwekane wazi wanaharakati ili tujue kuamua kipi ni kizuri na kipi ni kibaya.
Na ONJO mpenzi wenu.