Je katiba mpya Tanzania imesahau haki za wanaume?

Je katiba mpya Tanzania imesahau haki za wanaume?

Emashi

Senior Member
Joined
May 24, 2012
Posts
138
Reaction score
26
Nimepitia rasimu ya katiba mpya 2013 sijaona ibara yenye kutamka HAKI ZA WANAUME wala WAGANE. Haki za binadamu zimetaja makundi mengi kama haki ya mtoto, haki za vijana, haki za wazee, haki za wanawake(na wajane) na makundi mengine. Lakini wanaume naona kama wamebaguliwa au ndio tuseme katiba ijayo ni ya mfumo hakuna haki za wanaume?
 
Nimepitia rasimu ya katiba mpya 2013 sijaona ibara yenye kutamka HAKI ZA WANAUME wala WAGANE. Haki za binadamu zimetaja makundi mengi kama haki ya mtoto, haki za vijana, haki za wazee, haki za wanawake(na wajane) na makundi mengine. Lakini wanaume naona kama wamebaguliwa au ndio tuseme katiba ijayo ni ya mfumo hakuna haki za wanaume?

Hazikusahaulika. Ni zile zote ambazo hazikutajwa. Vinatajwa vile vitu ambavyo vinahitaji kutajwa. Vitu visivyo hatarini havihitaji kulindwa! Rasimu ya katiba haikutaja jina lako. Haikuweko haja ya kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom