Je kbemenda ni nini na katika mazingira gani

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
naomba jamani wataalam wa tiba na wana jamii forum mnifahamishe, hivi tunavyoambiwa na madaktari pale tunapoenda kupima ugonjwa wa malaria, utakuta unaambiwa una malaria2 au 3 au 1 inamaana gani. na naskia kuna watu wanaweza kuishi bila kujua kama wanavijidudu vinavyofikia mia tano(500). je wanawezaje kuwahesabu kwenye damu, kwani inakuwa inazunguka mwilini, na yeye kaweka slide tu yenye damu?.
 
Jamani mi simuelewi huyu 2013,maana muda wenyewe inaonekana ilikuwa 01:18,ok nimeshapata majibu,inawezekana alikua anasinzia au alikuwa mitungi au alikuwa na shemeji wanaendelea,heading akaandika kabla hajamaliza na content akaandika alipomaliza au nyie mnaonaje wenzangu?:nono:
 

NI KWELI UYU LAZIMA NI MLEVI, TENA WA CHIMPUMU, HEADING NA CONTENT YAKE VIMENICHOSHA, ASHA UMBUKA UYu
 
alikuwa na nyumba ndogo yake anambeenda mtoto sasa hofu ya kumharibu mtoto na kupigwa na mkewe vikafanya aposti haya madudu.
 
Labda ni maswali mawili la kubemenda na Vijidudu vya malaria
sipo katika fikra zake labda afafanue mwenyewe.
 
Kama kuna mtu anamfahamu,plz amtafutie kamba mda wowote atachizika
 
Mdau anasumbuliwa na tatizo la kusahau. msaidieni jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…