Jamani mi simuelewi huyu 2013,maana muda wenyewe inaonekana ilikuwa 01:18,ok nimeshapata majibu,inawezekana alikua anasinzia au alikuwa mitungi au alikuwa na shemeji wanaendelea,heading akaandika kabla hajamaliza na content akaandika alipomaliza au nyie mnaonaje wenzangu?:nono: