Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,951
- 1,446
Kwa ujumla sielewi sheria gani zinachukuliwa mtu akitaka kugombea ubunge,Labda mtu yoyote yule anaweza kwenda kuchukua form na kujaza basi,Sidhani kama kuna sheria zozote zinaangaliwa kama background na tabia pia.
Kwa ujumla huyu jamaa naona kama hana nidhani kabisa na wala hapaswi kugombea ubunge kwa chama chochote kile,si mfahamu wala sina mawasiliano nae ila naona kama hana nidhamu na hana maadili hata kidogo,Nadhani ukicheck huo wimbo wake hapo chini ndio tutaona kama ana akili kidogo na je akiingia bungeni ataongea nini cha maana??Sielewi ila naona hafai kugombea ubunge kwa matusi aliyoimba kwenye huo wimbo wake,Sifikirii kabisa kama mtu na akili zake anaweza kuimba wimbo kama huu then aingie madarakani.
Naamini nchi yetu inateketea na sisi wenyewe tuona na ni nani wa kuiokoa kama sio sisi??
Kwa ujumla huyu jamaa naona kama hana nidhani kabisa na wala hapaswi kugombea ubunge kwa chama chochote kile,si mfahamu wala sina mawasiliano nae ila naona kama hana nidhamu na hana maadili hata kidogo,Nadhani ukicheck huo wimbo wake hapo chini ndio tutaona kama ana akili kidogo na je akiingia bungeni ataongea nini cha maana??Sielewi ila naona hafai kugombea ubunge kwa matusi aliyoimba kwenye huo wimbo wake,Sifikirii kabisa kama mtu na akili zake anaweza kuimba wimbo kama huu then aingie madarakani.
Naamini nchi yetu inateketea na sisi wenyewe tuona na ni nani wa kuiokoa kama sio sisi??