Je, kila redio inaruhusiwa kupiga Wimbo wa Taifa?

Je, kila redio inaruhusiwa kupiga Wimbo wa Taifa?

ndomyana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
5,630
Reaction score
2,169
Tulipokua shule tulifundishwa kwamba wimbo wa taifa unapigwa tu pale kuna tukio maalumu.

Sasa kuna kituo cha radio kila siku asubuhi kinapiga.

Je, ni kila radio inaruhusiwa kufanya hivo
 
Tulipokua shule tulifundishwa kwamba wimbo wa taifa unapigwa tu pale kuna tukio maalumu. Sasa kuna kituo cha radio kila siku asubuhi kinapiga. Je ni kila radio inaruhusiwa kufanya hivo
Tena katika kudumisha Uzalendo ambao kwa Kizazi hiki cha sasa Umepotea ulipaswa uipongeze hiyo Radio ( Clouds FM ) kwani inafanya Jambo jema na la Kizalendo haswa kwa kila Siku Saa 1 Kamili za Asubuhi kuupiga huo Wimbo wa Taifa.

Na kwa taarifa yako tu ni kwamba kuna Watu wengine Walisahau hata Kuuimba ila kwa sasa baada ya Kuusikia kila Siku unapigwa wameweza Kuukumbuka na Wanauimba vyema kabisa.

Tena ingekuwa ni Amri yangu ningeomba Redio zote zilazimishwe Kuupiga Wimbo wa Taifa ili kila Mtanzania wa kila Rika awe anauimba na Kuufurahia pia kwani ni Wimbo ambao unapandisha zaidi Morali ya Uzalendo ya Utanzania.
 
Tena katika kudumisha Uzalendo ambao kwa Kizazi hiki cha sasa Umepotea ulipaswa uipongeze hiyo Radio ( Clouds FM ) kwani inafanya Jambo jema na la Kizalendo haswa kwa kila Siku Saa 1 Kamili za Asubuhi kuupiga huo Wimbo wa Taifa.

Na kwa taarifa yako tu ni kwamba kuna Watu wengine Walisahau hata Kuuimba ila kwa sasa baada ya Kuusikia kila Siku unapigwa wameweza Kuukumbuka na Wanauimba vyema kabisa.

Tena ingekuwa ni Amri yangu ningeomba Redio zote zilazimishwe Kuupiga Wimbo wa Taifa ili kila Mtanzania wa kila Rika awe anauimba na Kuufurahia pia kwani ni Wimbo ambao unapandisha zaidi Morali ya Uzalendo ya Utanzania.
Ongezea na amri ya kila mtu kusimama popote alipo hadi wimbo uishe pale kila radio inapoupiga. Ingependeza zaidi.
 
Weka picha mkuu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ngoja nimsaidie
1657606113069.png
 
Back
Top Bottom