Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa Rais wa Zambia Edgar Lungu. Lungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanja mbuga kumnyang'anya Ikulu.
Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingusha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini?
Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda?
Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingusha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini?
Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda?