Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
We Mzee huu nao utauita Uzi?????Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi kinajirudia Zambia?
Shukrani mjukuu wangu. Nyama nshaweka. Unajua tena uzee, nilisahau kuweka link ambayo sasa nimeiingiza tayari.We Mzee huu nao utauita Uzi?????
Nyama amna
Hata police wetu awaamini bila ccm maisha yanaweza endelea.Hizo ndio nchi bwana. Mwaka huu chama hiki,mwaka mwingine chama kingine. Lazima anaeingia madarakani achape kazi,ksbb ya kuhofia wananchi kumshukia kwa kura.
Nasikitika sana sisi Watanzania kura zetu hazina maana yoyote. Nimeapa haitotokea kupiga kura tena
Huku tuna maisha yetu tushazoea hatuna muda najua mnapenda zitokeee lakini kwa uwezo wa Allah hakutotokea chafuko loloteHamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Machafuko huletwa na CCM na police.Huku tuna maisha yetu tushazoea hatuna muda najua mnapenda zitokeee lakini kwa uwezo wa Allah hakutotokea chafuko lolote
Yaan tuiondee CCM wakati wapinzani wenyewe hawana demokrasia? Yaan Mbowe mwenyekiti wa kudumu halafu unafikiria kuiondoa CCM. Mzee jaribu kuja na hoja za maana.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Sio kwamba vi nchi vidogo vinatushinda. Ila ukweli ni kuwa katiba zao zina unafuu kuliko hii ya kwetu. NdIo maana inakuwa rahisi kwa wapinzani kupindua meza wakikaza. Bongo lazima tupiganie katiba mpya na tume huru kama tunataka tutoe chance kwa wapinzani kuingia madarakani. Lasivyo kwa katiba hii, njia inayobaki ni ya mapinduzi ndo wengine wataweza kuingia madarakani.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
CCM ya Zambia ni UNIP sio PF πππCcm ya zambia chali hadi mda huu
Acha hizo fikra unajua HH amekuwa kiongoz kwa muda gani kwenye chama chake, ukwel mchungu vyama vya upinzan vinahitaji viongoz dhabiti kwa ajili ya kupambna na chama tawala.. angalia historia ya vyama vingi vya upinzan Afrika ambayo baadaye vilishika uongoz, viongoz wao walikaa madarakn muda mrefu kabla ya kufanikiwa kuingia ikuluYaan ,tuiondea ccm wakati ,wapinzani wenyewe hawana demokrasia?Yaan Mbowe mwenyekiti wa kudumu.Halafu unafikiria kuiondoa ccm.Mzee jaribu kuja na hoja za maana.
Zambia ndiyo nchi iliyobadilisha marais kwa sanduku la kura mara nyingi zaidi Barani Afrika.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI