Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Naomba kujuzwa kuhusu kilimo Cha kokoa na wataalamu wa kilimo hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante boss na soko lake lipo vipi?Muheza maeneo ya mashewa.
Morogoro maeneo ya muhonda mpaka milima ya unguu mpaka mdela huko,na maeneo ya safu za milima ya uluguru na maeneo ya mbingu pia
Mbeya vijiji vinavyopatikana katika wilaya ya kyela.
Kwa kuanzia hiyo ndiyo ramani ya kilimo cha kokoa Tanzania.