Je, Kilimo ni ajira?

Je, Kilimo ni ajira?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Uchumi wa viwanda unakuja baada ya kupitia hatua kadhaa wa kadha,uchumi wa viwanda unajengwa kuanzia kwenye mitaala na sera,sera ya elimu zinazohakisi uhalisia wa teknologia ya viwanda.

Itakuwa ngumu kufanikiwa kwa kiwango kikubwa kama hatuwezi kupitia hatua muhimu.
 
Kichwa cha habari na maelezo vimenipita kushoto
 
Duh! Mkuu unaendelea au ndio umeishia hapo?

Ngoja tusubirie inawezekana ni introduction hiyo.....😆😆
 
Shule za siku hizi sijui huwa mnafundishwa nini?
 
Mode amehamishia uzi huku kutoka jukwaa la siasa
 
Back
Top Bottom