stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Inategemea ni kipaji gani, siyo kipaji cha kula.Haya kama mada leta hoka tuone nini ni nini?
Je kipaji kinalipa kuliko elimu ya darasani,?
⚽Inategemea ni kipaji gani, siyo kipaji cha kula.
🤣🤣🤣🤣 Ila we dada wewe🥴Hata kudanga bila elimu ya chuo huwezi kuufanya chunguza madanga wengi wanadegree
Ni kweli best sio uongo🤣🤣🤣🤣 Ila we dada wewe🥴
🤣Yaan unapiga mulemuleNi kweli best sio uongo
Acha tu ila tuseme ukweli tu wengi siwalianza shule ya secondary halafu wakaenda A level hadi chuo au niuongo??🤣Yaan unapiga mulemule
Haya kama mada leta hoka tuone nini ni nini?
Je, kipaji kinalipa kuliko elimu ya darasani?
Ni wangapi wana kipaji cha mpira na ni wangapi wametoboa kati yao?