Msanii wa kimataifa anatakiwa awe hivi.
1.Nyimbo zake zinachezwa na radio/tv za kimataifa,na ziweze kushika nafasi za juu.
2.Kupata tuzo zinazotambulika kimataifa.(sio zinazoishia kenya na Ug)
3.Kupata shoo za majukwaa ya kimataifa (hata ukiwa peke yako huweze kujaza)
4.kukubalika na wasanii wa kimataifa na kuweza kufanya kazi nao.
5.Nyimbo zako kuweza kuuzwa na mitandao ya kimataifa.(sio ili mradi zipo huko tu,ila zishindane kimauzo na wakimataifa wenzako)
6.Uwe na muonekeno wenye hadhi ya kimataifa.
Na mengine mengi tu.